Search results

  1. kibogo

    Faces Of Africa - Idi Amin Famous For the Wrong Reasons

    Duhh!! Nimeangalia hii clip nimejifunza kitu aisee
  2. kibogo

    RC Mnyeti amtumia mbunge Ole Millya salamu za kuachia jimbo la Simanjiro

    TUESDAY, JANUARY 30, 2018 Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti, amemtumia salamu mbunge wa Jimbo la Simanjiro James Ole Millya (Chadema) kutumia nafasi hii kuagana na wananchi wake kwani hawezi kushinda tena ubunge wake mwaka 2020. Mnyeti aliyasema hayo wakati akizungumza kwenye uzinduzi...
  3. kibogo

    Raia wa Comoro waishio Tanzania waliomba jeshi la polisi kusaidia kupatikana kwa ndugu yao

    JUMUIYA ya raia wa Comoro waishio Tanzania wameiomba Serikali kupitia Jeshi la Polisi nchini kusaidia kupatikana kwa ndugu yao Ammar Abdousoi Madou (26) aliyepotea na kutoweka kusikojulikana tangu tarehe 29 Juni mwaka huu. Akizungumza na Waandishi wa habari leo (jana) Jijini Dar es Salaam...
  4. kibogo

    Waumini watakiwa kujenga makanisa mengi ili kumwombea Rais Magufuli

    Makamu Askofu mkuu kanisa la Pentekoste (FPCT) Stevie Mulenga, amewahimiza waumini wa madhehebu ya dini mbalimbali nchini, kutumia fursa ya kusali kwa amani na utulivu kujenga nyumba za ibada nyingi ili kupanua wigo wa kumwombea Rais Magufuli kwa Mungu afya njema na amlinde dhidi ya maadui...
  5. kibogo

    Mulugo - Nina hatimiliki halali ya Ardhi tangu mwaka 2092

    Hii nimeiona na kumsikia mh. Mulugo Akiyatamka katika kikao cha kutatua migogoro ya Ardhi inayohusisha wakulima na wafugaji. Chanzo: Azam tv taarifa ya habari 2 usiku.
  6. kibogo

    Arusha - Allowance cut to Sh10,000 per day for councillors

    Arusha. A sitting allowance standoff for councillors, pitting mainly the government and the city council run by the opposition, continues after the local authorities were ordered to pay only Sh10,000 per day for each civic leader and the payment will be forfeited once the councillors boycott...
  7. kibogo

    Majambazi 6 wauawa na polisi Dar

    Watu sita wanaotuhumiwa kuwa majambazi hatari, wameuawa katika majibizano ya risasi na Polisi katika eneo la Mbezi kwa Yusuf Makondeni katika Manispaa ya Kinondoni, Dar es Salaam. Naibu Kamishna wa Polisi, Lucas Mkondya akionyesha silaha walizozikuta kwa majambazi hao Kwa mujibu wa Kaimu...
  8. kibogo

    Dr. Shein Alia Mgawanyiko uliopo Zanzibar

    By Salma Said, Mwananchi mwananchipapers@mwananchi.co.tz Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein alitumia maadhimisho ya ibada ya Eid el Hajj kuwataka Wazanzibari kuwa wamoja huku mgawanyiko mkubwa baina ya Unguja na Pemba ukiendelea kujidhihirisha. Akihutubia waumini wa dini ya Kiislamu jana...
  9. kibogo

    Mwenyekiti mstaafu UVCCM Wilaya ya Rombo atoa onyo kwa wanasiasa wana hatarisha amani ya nchi

    Alianza kwa kusema Umoja wa vijana wa chama cha mapinduzi rombo unaunga mkono kauli ya Raisi JOHN POMBE MAGUFULI ya kupiga marufuku mikutano ya siasa,maandamano na oparesheni zote zenye kila dalili za uvunjifu wa Amani na kutoa onyo kwa vyama vitakavyo jihusisha na uvunjifu wa amani...
  10. kibogo

    Baraza la sanaa Tanzania (BASATA), hiki anachoonekana akikisema Joti ni sahihi kwa heshima ya Taifa?

    Tumeshuhudia nyimbo zisizo na maadili zikifungiwa kwa kurekodiwa Video zisizo faa au kuwa na maneno yasiyofaa, sasa najiuliza hivi kinachoangaliwa ni nyimbo au filamu pekee? na vipi kwa watu kama hawa wanao andaa viclip vidogovidogo kama hivi na vinasambaa kwenye mitandao na kuonekana na watu...
  11. kibogo

    Ngeleja ampa siku tatu Mkurugenzi (DED)wa Halmashauri Sengerema

    Mbunge wa Sengerema William Ngeleja ametoa siku tatu kurejeshewa madawati yaliyotengenezwa kwa fedha za mfuko wa jimbo Agizo hilo amelitoa kwa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Visent Bushaija kutokana na madawati hayo kusambazwa shuleni bila kukaguliwa na kuwekewa nembo...
  12. kibogo

    Je, ni halali Kiongozi mwenye dhamana kubwa ndani ya Bunge na nchi kuvaa nguo kama hii?

    Kuosha magari ni sawa, je kwa hii ya kuvaa skin tight ni sawa? Naibu Spika Dk. Tulia aosha Magari ya Wabunge, Mawaziri kuwaunga mkono waandishi wa habari Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Tulia Ackson Mwansasu (kushoto) akiosha moja ya magari ya wabunge na Naibu...
  13. kibogo

    Kesi ya Mauaji ya Mwanahabari, Daud Mwangosi Kuendelea Leo

    Mahakama Kuu Kanda ya Iringa, jana iliahirisha kesi ya mauaji ya mwanahabari, Daud Mwangosi inayomkabili askari wa Kikosi cha Kutuliza Ghasia Mkoa wa Iringa (FFU), Pasificus Simon hadi leo. Kesi hiyo iliahirishwa baada ya upande wa Serikali kufunga ushahidi wake. Kesi hiyo iliyoanza...
  14. kibogo

    Baraza la wawakilishi wapitisha hoja kuchunguzwa CUF kuhusika kuchochea ubaguzi ikibainika kufutwa

    Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), Zuberi Ali Maulidi WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar (BLW), wamepitisha hoja binafsi wakitaka Chama cha Wananchi (CUF), kichunguzwe na kikibainika kinahusika na vitendo vya ubaguzi ulijitokeza Zanzibar, kifutwe. Wajumbe hao hawakuishia...
  15. kibogo

    Serikali tunaomba ufafanuzi bei elekezi ya Sukari imebadilika?

    Wakuu! Kupitia taarifa ya habari ITV saa 2 nimeona na kusikia kutokea Mwanza juu ya zile tani 500 zilizopelekwa huko kutokea kiwanda cha kagera ili kuokoa uhaba wa sukari katika jiji hilo, cha kusikitisha imetangazwa kuwa wananchi walinunua mfuko wa Kg 50 kwa bei elekezi ya Tshs. 98,000/= kwa...
  16. kibogo

    Waziri wa Viwanda na Biashara ni vema ukajipima juu ya hili suala la Sukari nchini

    Wana JF wenzangu. nachukua fulsa hii kuandika juu ya hili suala la sukari ambalo kwa sasa hali imekuwa mbaya zaidi kuliko walivyojinadi hawa viongozi wetu wa awamu hii ya tano. Ikumbukwe kwa huku nilipo wakati Kikwete anaondoka mfuko wa Kg. 25 ulikuwa unauzwa Tshs. 44,000/= hadi 44,500/=...
  17. kibogo

    Madiwani Shinyanga wabariki mradi wa mashoga na machangudoa

    Wakati serikali ikiendelea na zoezi la kamata kamata ya wanawake wanaojihusisha na biashara ya ngono “kuuza miili yao” Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga wameliruhusu Shirika lisilo la kiserikali la Rafiki SDO kuendelea kutoa elimu ya UKIMWI kwa wanawake wanaojihusisha na biashara...
  18. kibogo

    MIKOA MINNE HALI TETE HUDUMA za AFYA

    Wadau. Nichukue fursa hii kuwapongeza viongozi wetu kwa kazi nzuri ya utumbuaji MAJIPU inayoonyesha kuwa inataka kuleta nidhamu ya watumishi wa Umma wawapo kazini kwani inatupa faraja sisi wananchi wa kawaida Lakini cha kusikitisha niweke wazi hadi sasa hali ya utoaji huduma Afya katika Mikoa...
  19. kibogo

    Kampuni ya kichina matatani kwa kutengeneza vibao vya namba za magari kinyume cha sheria

    Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanya msako wa kushtukiza katika kampuni ya Tanzania China Trade and Tourism Development Ltd iliyoko Barabara ya Nyerere Dar es salaam baada ya kupata taarifa kutoka kwa msamaria mwema na kukamata vifaa pamoja na malighafi za kutengeneza na kutoa vibao vya...
Back
Top Bottom