Siku ya jumamosi ya tarehe 29.7.2017 kulibainika kayaking ya wachimbaji wa madini wawili waliouawa kufuatia mapigano ya wachimbaji baina ya mgodi wa Tanzanite one dhidi ya mgodi maarufu kwa jina la "mhindi".
Katika mapigano hayo mtu mmoja alijeruhiwa macho yake yote mawili.
Asubuhi hiyo vyombo...
Mzee with Mwandosya unaheshimavya kipekee nchini Tanzania. Elimu name taaluma yako watanzania wanaihitaji sana. Busara zako bad zinahitajika kuhakikisha nchi hii inapiga hatua. We we umekuwa Alana muhimu kuwakilisha watu wananchi Wa Nyanda za juu kusini.
Mwandosya kujiunga kwako timu ya...
Regina yupo fiti Sana hata kwenye lugha ya yai. Nchi imepata first lady waukweli, sio yule anaeongea Kama anafundisha chekechea. Mtotooooo.....Wa..... Mwenzio...... Niiiiiii.... Wa kwakooooo....
Kweli CCM choka mbaya, mwaka huu mmelaaniwa. Rudini tena kwa aliewatuma, hizo sio propaganda za level ya kuwekwa JF. Mwambieni na hiyo mmefail awape technic nyingine.
Tangu kuanza kwa chaguzi za Rais katika mfumo Wa vyama vingi, REDET wamekuwa mstari Wa mbele kufanya tafiti na kutoa matokeo mara kwa Mara kuonesha mtizamo Wa wapiga kura juu ya mgombea urais anaepewa nafasi ya kushinda.
Hali hiyo imekuwa tofauti kwa chombo hicho muhimu, achilia mbali vile...
Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma kumpata mgombea Urais Kupitia chama hicho sasa imegeuka Kero sasa.
Kama chama tawala, kila mwananchi amekuwa na hamu ya kujua ni nani atakaepitishwa na chama kugombea nafasi hii muhimu na atakaetoa taswira ya Serikali ya Swali ijayo.
Mpaka hivi yaelekea...
Vikao vya CCM vinavyoendelea Dodoma jumpstart mgombea Urais Kupitia chama hicho sasa imegeuka Keri.
Kama chama tweaks, kila mwananchi amekuwa na hamu ya kujua ni nani atakaepitishwa na chama kugombea nafasi hii muhimu na atakaetoa taswira ya Serikali ya Swali ijayo.
Mpaka hivi yaelekea...
Nimejitahidi sana kufuatilia hotuba za marais mbalimbali duniani waliopita na waliopo madarakani. Zaidi ya hapo nimejitahidi kufuatilia maongezi mbalimbali ya wasomi mbalimbali duniani nimegundua kuwa katika kujenga hoja mbalimbali wamekuwa wakitumia mifano mbalimbali ya matukio ya nyuma...
Ndugu wanaJF hii ni taarifa kuwa, mtu aliekabidhiwa jukumu la kukusanya wazee Wa Dar es salaam ili kwenda kujaza ukumbi Wa Diamond Jubilee kumsikiliza Rais akihutubua amewekwa kikaangoni na kibarua change kipo kikaangoni.
Habari zilizopo mezani ni kuwa mzee ametaka Mara moja kujua ni nani...
Ndugu wanaJF hii ni taarifa kuwa, mtu aliekabidhiwa jukumu la kukusanya wazee Wa Dar es salaam ili kwenda kujaza ukumbi Wa Diamond Jubilee kumsikiliza Rais akihutubua amewekwa kikaangoni na kibarua change kipo kikaangoni.
Habari zilizopo mezani ni kuwa mzee ametaka Mara moja kujua ni nani...
Rais JK ambaye alikuwa ahutubie taifa kwa kuongea na wazee wa DSM ameahirisha, kisa yupo nje ya DSM. Kitendo alichokifanya Rais huyu wa nchi ni ubaguzi wa kutenga maeneo ndani ya nchi moja. Kwani Rais anahutubia wazee wa DSM tu na si wananchi wote?
Kama suala ni kufikisha meseji kwa wananchi...
Kwa wale waliokuwa wakifuatilia vita baridi (Cold war) kati ya kambi ya Magharibi ikiongozwa na Marekani dhidi ya kambi ya Mashariki chini ya Urusi, vita hivi vilianza kupungua nguvu na hatimae kutoweza kabisa kufuatia kusambaratika kwa USSR. Hii ilikuwa baada ya kiongozi mmoja alieitwa Michael...
Kumekuwa na taarifa mbalimbali toka pembe zote nchini Tanzania kuwa Rais Jakaya Kikwete anatarajia kuchukua "MAAMUZI MAGUMU" ya kuwafukuza kazi Mawaziri walitaojatwa katika sakata la ESCROW pia kuwapumzisha kazi Mawaziri wote ambao wametajwa kuwa ni Mizigo kama vile Christopher Chiza.
Sidhani...
Ndugu zangu mnaosoma site hii kama nchi hii itaendelea kuongozwa na vibaraka na makuwadi Wa mafisadi kama spika Anna Makinda basi hapa hakuna tena nchi Bali ni maradhi, uchafu, upuuzi ili mradi kila ghasia.
Upuuzi wa mama huyu mwenye sura mbaya mpaka roho yake ulianza toka kuteuliwa kwake...
Hii nchi tunaongozwa na Matope, tena matope yenyewe ni yale ya kutoka chooni. Huwezi amini wakati watanzania wote wameamka na shauku ya kuona hatma ya ripoti ya Escrow bungeni leo. Bunge lilipoanza leo, Televisheni ya Taifa TBC ilikuwa inarusha kipindi wanaongea na wachekeshaji wa Bongo Movie JB...
Kufuatia ombi la mheshimiwa Mnyika kwa Spika Ana Makinda leo asubuhi bungeni, Ana Makinda amejibu kuwa mpaka sasa hakuna kesi yoyote iliyofunguliwa inayohusu kusimamisha ripoti ya CAG na TAKUKURU isisomwe bungeni, akishangiliwa kwa kelele na vifijo Makinda amesema kuwa hata zile kesi 10...
Kufichuka kwa wizi Wa Escrow kumeendelea khthibisha kuwa Tanzania ni Shamba la bibi, yeyote mwenye uwezo ajichukulie atakavyo. Serikali imepoteza nguvu zake na sasa imegeuka kuwa genge la wapigaji.
Serikali ndio chanzo cha viongozi wake kujichotea pesa za umma kwa sababu hakuna mdhibiti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.