kwakua hawajaa ona zoezi la msiba mara kwa mara kama waonavyo michezo ya wazazi tangia wazaliwapo na kujifunza ila tusijue kuwa reflex is a teacher teaching us many thinks.
jiulize mbina mmasai aongee kimasai na mmeru kimeru.ila mtoto huyo huyo akizaliwa meru na umpeleke akulie marekani...
reflex work,working best with emotions in a boost of adolescence!
QUOTE=Makaura;7271696]Wana psychology, wazazi,na wanajamii ebu tusaidiana kujua watoto wa kijijini na mijini wamejulia wapi mapenzi(matinga)? Unawakuta watoto wanajifanya baba na mama then kinachofuatia ni Anyong' nyong, pia...
hivi ukimchamba bata utakuwa kweli umefanya kazi?ndio mda utapoteza,usafi utaonekana ila reward hautakuwa nayo kwani utaonekana taira!
ndio bata desturi yake kutotunza usafi kwani uchafu desturi yake!
QUOTE=kimeta cha ufisadi;7272119]Ndugu watanzania wenzangu kwa kijana yeyote aliye kuwa...
Best way to kill a machine is to feed on its self.to kill a gear in an easiest way let it grand on its self rather than bringing an out impact to kill it like a hit or something.
Look at osama and americans or the total game of terrorism!
Best way to kill a machine is to feed on its self.to kill a gear in an easiest way let it grand on its self rather than bringing an out impact to kill it like a hit or something.
Look at osama and americans or the total game of terrirism!
Chadema mwendo mdundo!
Mfa maji haishi kutapatapa,waacheni ccm na order commanding zao watapetape,kwani yamewafika ya shingo sharti watapetape kutafuta ahueni ya kuishi angalao nyakati fupi zijazo.
picha mbilii tofautii kabisa,check meno gear ya juu ni 4,na mwisho tofauti.chini nii meno gear 2 na mwisho wa round mbili tofauti,hata kama mashine ya kwanza iligoma ama kushndwa kukatwa na masine hata kufauliishwa kwenye mashine nyengiine mbona kilicho katwa pia ni tofauti?
kaka gemu ya kucheza na akili ama fahamu,mind controling issue.ila chadema iwe makini na maneno wayaongeayo kwani vita kuu ni yakunasa akili hususani sisi mbumbu tusiojiuliza kwanini.lema kahusishwa na mabomu kisa kauli,nauna mchezo ule wa ngeli ugaidi!
Masaa 21 yaliyopita · Like
poleni ndugu zetu,naamini ni nidhamu ya uoga inayopandikizwa ila zipo hata mitandao ya kijamii ya kukusanya watu na kufikisha ujumbe sasa nakwenyewe sijui watapiga mabomu?tukaze mkanda ushindi unakuja!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.