Kwa tunao tumia barabara ya Morogoro-Chalinze Dar mziki ni mnene
Kuna ajali daraja la Ruvu
Tanker ya mafuta imegongana na fuso..zimamoto wamewahi
Wazee wa betri hawakuwepo
Kuna bonge pin!!!!!!
Leo moro saa 12 jioni
Kumetokea ajali kwenye daraja linalounganisha mikoa ya Kaskazin eneo la Wami
Hakuna vifo bali majeruhi
Chanzo ni basi la Hood kushindwa kushika breki na kugongana uso kwa uso basi aina ya Coaster ambalo lilikua linamalizia kuvuka daraja ambao ni njia moja
Folen ni kubwa pande zote za barabara...
Imetokea ajali mbaya Kigoma njia ya Uvinza Kijiji cha Mulela.
Mpaka sasa nimeshuhudia maiti saba.
Hiace imepasua tairi na kupinduka
Majeruhi wamepelekwa Hospitali ya Maweni
Hiace ilikua imetoka Uvinza kwenda kigoma mjini
Kwa mujib wa mashuhud Hiace mbil zilikua zinakimbizana zote za kampun...
Rejea somo
Natafuta shamba kwa ajli ya kilimo cha mpunga
Liwe wilaya ya kakonko,chato au kibondo
Liwe karibu na chanzo cha maji cha uwakika maana nataka lima misimu 2
Ekari 100 au zaidi
Waweza ni dm humu humu JF
Jeneral John Tshibangu ameasi/amejiuzulu jeshi na kumpa Rais Joseph Kabila siku 45 awe ameachia madaraka na kuomba wananchi msamaha kwa kushindwa kuwaongoza
Hata hivyo bado haijafamika Jenerali John alikua ameshika nyadhifa gani kwenye jeshi la Congo
Je ni mapinduzi ya kisayansi yanaendelea...
Hali ya sintofahamu inazidi sambaa nchini Zimbabwe tokea Makamu wa Rais afukuzwe madarakani na Rais Mugabe >> Zimbabwe: Rais Robert Mugabe amemfuta kazi Makamu wa Rais
Jeshi la nchi hiyo limeanza sogeza vikosi katikati ya mji mkuu Harare hiyo ni baada ya mkuu wa majeshi kutangaza kuchukua hatua...
Kumekua na hali ya sintofahamu nchini Uturuki,
Madaraja, flyover zimefungwa
Waziri mkuu anasema kuna vikosi vimekataa ku-obey order toka kwa mabosi wao wa kiraia
Je ni mapinduzi ya kijeshi yanaendelea?
08:00 am | July 16, 2016:
UPDATES:
- Kuna baadhi ya vikosi vimeasi kwa mujibu wa...
Kumetokea mapigano makali nje ya kasri ya rais wa Sudan ya Kusini,
Mpaka sasa kuna sintofahau chanzo cha mapigano hayo,
Rais Salva na VP Riek wote wako ndani ya ikulu
Mawasiliano ya simu yamekatwa nchi nzima,
Wadau,
Naomba mwenye kujua gereji nzuri ya Subaru kwa hapa Dar,
Kasubaru kangu kanafuka moshi sana wakati wa kuwasha,
Unatoka moshi mweupe kibao hasa inapokua imekaa kwa muda kama masaa 3,
Pia ukiwasha inachelewa kupotea japo plug na petrol filter nimeweka mpya
Subaru impreza sportwagon...
Habari siyo rasmi kuhusu kutoweka kwa gazeti la Mwananchi siku ya leo,Ikumbukwe hii ni mara ya pili kwa wiki hii hili gazeti pendwa kutoonekana mtaani,
Mwenye ufukunuku zaidi au kanusho karibuni
Mida hii kuna foleni kubwa kwa wale watumiaji wa njia ya kimara baruti-msewe kutokea chuo kikuu
Sababu ya foleni hazifamiki.
Epuka kutumia njia hiyo kwa sasa kama inawezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.