Ni kweli kuna kirusi. Lakini tujiulize maswali rahisi.
1. Mwenendo wa zzk tangu ishu PM7 hadi kutimuliwa shonza et al unaridhisha? 2.Ni kweli zzk hamjui Ben SaaNane? 3.Kwa nini tuamini memo imevuja kupitia ofisi na si kwa zzk mwenyewe?
Kaka uko vizuri, ukweli ni kwamba ccm wakishinda kesi au wakishindwa kesi yote inawapunguzia umaarufu. Cdm watarudi kwa wananchi na kuomboleza wanaonewa. Ccm bado wanatumia mbinu za kizamani mno!
Watanzania tuna uvivu wa kufikiri, acheni kuchezea taaluma za watu. Hamtaamini atapotiwa mbaroni. mtasema kasingiziwa. "Nyumba hujengwa kutokana na ramani na sio picha" kitaalamu hii ina uhalisia zaidi kuliko unayoitaka wewe.
Napongeza juhudi za mh zito na wadau wote (wanaharakati) wa ukombozi, hatimae magamba wametangaza nia ya kutii nguvu ya uma baada ya kusukumwa. Wanaharakati hawana budi kuandamana nchi nzima kwa amani kupongeza mshikamano mkubwa wa wanaharakati kupelekea magamba kutangaza nia ya kuwajibika...
Nalazimika kuamini jk ana ajenda ya siri kuwabeba cdm ili awakabidhi rasmi jengo la magogoni 2015.
1.aliitumia mahakama kumwondoa lema
2.amekataa mapendekezo ya kamati za bunge kuwamwaga mawaziri wazembe.
Haya yamewakera sana watanzania walio wengi hata ccm wenyewe wanahamia cdm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.