nyote mmesema infwact haya mabo si ya kulaumiana bila kujua kiundanmaana kila mtu katoa point isipokuwa point mija tu ndo ya ukweli kuwa wahaya lazima awe na msichana wa ke wa kuhaya hata akija mjini akawa na wa songea lakini kaa ukijua akirudi nyumban ana wake, so persay hawa wanyamahanga...
wee ni mdogo wake oscar kambona nini mbona umeguswa sana na kuiponda sera ya mwalimu? aaaaa nimekumbuka ulidhurumiwa magari wakati wa utaifishaji eee poleee sasa nadhan umwendee kingunge akupatie:A S angry:
utafiti unaonesha kuwa CCM mwaka sifa yake inaongezeka kwa asilimia kadhaa kila uchaguzi,
mwaka 1995 mkapa alipata 57 na 63 mwaka 2000, average ni 60. hiyo ni awam ya tatu, awamu ya nne kikwete 2005 80.28 then 2010 ,61 average ni 70.4%
then mwaka 2015 ccm atapata 65 na 2020 63 average 64, hiyo...
sioni kama nyote mnaochangia ili kama mna akili nzuri yaan taifa lipo kwenye misukosuko mingi mnaleta ukabila eti karne hii, acha hizo bwana, huyo naye sema bukoba imechoka kairinganisha na mkoa gani au wilaya gani? niambie bukoba maendeleo yaliyoko utayalinganisha na tarime, au mtwara au...
na uhakika kama kwa sasa ndani ya chadema hakuna makundi , yapo japo hayajawa na mizizi mingi saana mfano watu wamekuwa wakipingana waziwazi ndani ya CDM hasa wakati wa kuteua wabunge wa viti maalumu hii ingepaswa kuwasilishwa kama topic isemayo NINI KIFANYIKE ILI KUDHIBITI MAKUNDI YANAYO...
acheni kuchangia hoja bila kujua lowasa anahusika vipi kwenye mambo haya labda kasingiziwa, nadhan angekuwa alifanya kweli asingejiuzulu ili alinde maovu aloyafanya ila kwa kuwa alidanganywa kuwa atalindwa endapo akijiuzulu ili watanzania wasilete noma juu ya miradi feki iliyoibuka awamu ya nne,
Nawaambia hawatafanikiwa hiyo ni story kama nyingine zinazotokeaga tanzania siitofautish na story ilokuwepo ya dowans richmond kagoda na meremeta pia buzwagi ,huwa sioni wabunge wanafanya nini bungeni wanashindwa kuiwajibisha sirikali kwa maovu wanayotufanyia tena kaeni kimya mmeshindwa yale ya...
lowasa teh teh teh namuunga mkono bora azikusanye hizo naye 71 maana, najua wakidhamilia zitatimia ukiangalia wapinzani wapo zaidi ya 50, kuna wanaharakati walioko ccm ni kama 7, then kuna wanaodhani baraza la mawaziri likivunjwa wao ndo watapewa hivyo wako kama 30 nao wanataka baraza la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.