Come on Willy, wewe ni mtu mzima.
I believe you still have a copy of your university card, are you still in that school? I still have my primary, secondary, university and even former employee ID cards. Most of them have expired (you understand they have expiry date) but I still keep them for...
Nice piece! Its unfortunate though that you are comparing the big guys of facebook and google with "Kwetu Shop". Literally, CEO's, Partners, MD's etc are the highest ranked officers in that organization. If I open a shop and tend to get a contract to supply Cereals in one of the local schools...
Sijawahi kuwa karibu na ZZK zaidi ya kusoma vinavyoandikwa juu yake, kusoma makala zake, kutembelea mitandao, kuongea na watu na pia utafiti binafsi. Zitto kwa jinsi ninavyomuona mimi ni msomi, au anaonyesha usomi katika vitu anavyoviongea - sijui kuhusu anavyovifanya. Kwa sisi tunaopiga kura...
find something better to write!! wewe ndio ulipita masaki, wewe ndio uliona jengo, wewe mwenyewe uka monitor na kuona jinsi vibao vya construction details jinsi vinavyobadilika sasa unataka tukujuze nini? go to the construction company n ask alafu tuletee jibu. how jk`s or mrisho`s do u know¿¿¿...
I wish you knew what this means? Listen my guy, no one is prohibitted to attend a Chadema rally wearing CCM colors (clothes etc) but you know what that means!! Its just common sense. Some things dont have to be law for them to be implemented like I gave an example of Ciggarete. Is it for someone...
There is something called "Makruh" in Islamic. Its basically doing something which is not forbidden but in a way that it disturbs other people. You are a Christian so you have a right to eat but you should look at Zanzibar from an angle that its guided by Islamic principles. Not everyone smokes...
All these are stories but the truth is that a square peg doesnt fit into a round hole. In batter trade a double coincidence makes the best deal. Any marriage that is filled with unhappiness for each other is an indication that there were irregularities even before the marriage itself. However...
Maybe extra amount goes to CCM. I once told a friend that I find AghaKhan more like Muhimbili. While Muhimbili has all facilities at affordable cost, AghaKhan these days has nothing except the name and pride....They once took my medical card and asked me to go for it the following day because a...
Clouds wametangaza sasa hivi (4.38pm) kwamba baada ya mda mfupi watajiunga na ikulu ili wapate matangazo ya moja kwa moja. Inawezekana kweli akatangaza baraza leo
Wacha karatasi ipate majina yaliotimia, iwakilishwe Bungeni alafu wao wavunje Bunge kwa mda wao. Ila itamaanisha kwamba Bunge lifuatalo hoja hii itakua ya kwanza au kati ya hoja za msingi zitakazojadiliwa. Zittoh hajakurupuka, yupo sahihi unless sisi ndio hatujui kusoma sheria na vipengele vyake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.