Nimewahi kufanya kazi huko lakini ilinishinda kuna boss mmoja ni mungu m2, malipo duni hakuna utu hata kidogo wakati unafanya kazi toka alfajiri saa kumi na moja mpaka jioni saa 12 hakuna over time.nilisepa mwenyewe.
Mambo vipi waungwana jamii forum ni mtandao makini ulionishawishi na kunivutia kujiunga kwa lengo la kuleta ustawi wa maisha yangu naomba mnikaribishe ndani ya ulingo kwani kuku mgeni.........
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.