Mkubwa usichanganye mambo hapo, we unasoma degree ya kiswahili au unafanya utafiti wa kiswahili, kwasababu unaweza ukawa unachukua degree ya kswhl ila unafany utafit wa kitu kingine so u shud uz english ila kama unafany utaft wa kiswahl bas unapaswa utumie lugha ya kswhl.
Kwa mtazamo wangu mim wote wanfanya kazi ya kijamii ila Mwanakijiji anafanya kazi kwenye mazingira magumu zaidi yanayomuhitaji awe involved direct compare to Waziri ambaye anasupaviz utendaji, hivyo wote wana haki za msingi kama posho n.k base on kazi wanazofanya na risk iliyopo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.