yaan Sterling, aguero, salah , mane, aubameyang wang'are halaf King Messi asing'are hivi huwa mnatumia mantiki gani aisee?
hapo tu amekutana mara chache na team big 6 amezifunga goal 24
kwa miaka 10 wakat Aguero kwa kipind chote hicho hicho amezifunga mara 43
sasa imagine anakutana nao kila leo...
ukitaka ndugu mkae kwa amani muwe mbali mbali ila mkiishi pamoja kila siku mnaonana lazima mgombane mara mashamba mara huyu akuambie unamroga ili mradi chuki na wivu zinatamalaki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.