Huu ni udhaifu ambao sisi kama watanzania hatupaswi kuu vumilia.
Haya ndio matokeo ya kuwa na majaji wanao fanya kazizao kwakufuata
maagizo ya walio waweka madarakani au kwaajili ya kukidhi matakwa ya mtu fulani na
wala sio namna ambavyo sheria inaelekeza!!
Kamavijana, nilazima tuunganishe nguvuzetu katika kuhakikisha tunatoa elimu kwa umma iliwapate kuelewa nizipi ambazo ni hakizao na nikwa namnagani CCM wamekuwa wakiwahujumu hakizao hasa pale wanapo wanyima elimu ya uraia nahivyo kupelekea wananchi kushindwa kujua masuala ya msingi katika jamii...
Amakweli "kamba ya kuloweka haichagui maji machafu"! kwa upofu huu wakitendaji CCM haiwezi kuwa na viongozi wenye kujali maslahi ya wanyonge na taifa kwaujumla!
Kwakuwa haiwezekani watu walio onekana kuwa na ushawishi mkubwa kwa wananchi kwakutetea maslahi yawanyonge na taifa ndio waenguliwe...
Watambue kuwa wanaweza kuuwa chama (CHADEMA) wana weza kuuwa watu, lakini kamwe hawawezi kuuwa mawazo ya kimapinduzi yaliyoko katika akiliza Watanzania hivisasa!
Nape nikama bendera inayo fuata upepo hana lolote alijualo yeye kazi yake ni kuropoka tu! Nina wasiwasi halmashauri ya kichwa chake haifanyikazi vizuri!!
Nashindwa kukiafiki ulicho kizungumza kwa kuwa daraji II/relini napa fahamu vizuri sana hembu weka kwanza wazi ilikuwa ni majira ya saa ngapi?. Kwani ninavyo fahamu mimi kabla na baada ya kuvuka hilo daraja kuna nyumba kibao ziko hapo na watu wana kuwepo nje mpaka mida ya saa tano na vilevil...
Jamaa anaonekana kuwachokoza CCM kwakuweka maovu yao wazi kwakuwa anauhakika hata wakimtimua atajiunga na CHADEMA na watampokea na ataendelea kukubalika zaidi kwa wananchi kuliko alivyo hivi sasa huko CCM.
Zaidi sana ameshasoma nyakati kuwa chamakimepoteza mvuto kwa wananchi hivyo anatafuta...
Ware jee historia ya Sauth Africa wataona kwamba Makaburu walipo amua kumkamata Nelsoni Mandela na kumuweka kizuizini katika gereza la Roben island ndokwanza waliamsha hisia za watu wa S.africa na kupelekea nchi kuto tawalika jambo lililo pelekea uchumi wa Makaburu kule S.Africa kushuka kuto...
Kitendo cha askari wa Uganda walicho mfanyia mwana mama huyo ni kitendo cha kinyama kabisa na hakifai kuvumiliwa na binadamu yeyote!
Naungana na akina mama walio hamua kuandamana nusu utupu ili kuonesha kukerwa na kitendo alichofanyiwa mwana mama mwenzao.
Jana kuna taarifa zilizo kuwa zikisema wabunge wa CCM walio sign ni wa 5 ambao ni;
1.Deo Philikunjombe =Ludewa
2.Ally Keissy Mohamed=Nkasi kaskazini
3.Alhoxard Lugola=Bunda
4Murtaza Ally Mangungu na
Mbunge mmoja wa viti maalum kutoka kanda ya ziwa.
Idadi ndogo ya wabunge wa CCM watiokubali kuweka saini zao katika kuiunga mkono hoja ya Mh. Zitto ina dhiditisha nijinsi gani CCM walivyo kuwa wanafki pindi wawapo bungeni na kujidai wanatetea maslahi ya umma! eg Mama Kilango, Makamba,Olesendeka na wengine wengi.
Wakaiti ukimchambua mama Anna Makinda nivizuri ukatizama pia umri wake,siasa katika chama alicho kulia,
mtizamo wachamachake unamtaka afanye nini na jamii ya Watanzania inamtaka afany nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.