Hii ni nzuri sana tu kwa maoni yangu, inaonyesha 'Uwajishaji' wa wanaochwlewesha mambo. Zaidi uzalendo mkubwa kutangaza jina la nchi yetu, maana tumeingia kwenye record Wizara ya majengo ya aina yake nchini TANZANIA.
Sasa kama unafundisha class utashindwa tofautisha kati ya wa kwanza na wa mwisho baada ya mtihani. Kama kasema uongo uonyeshe uongo huo! KAMA NI KWELI BASI MWACHE ATUCHANE TU pengine makelele ya nje yatatuamsha.
Non sense. Maisha yanapanda na kuwa magumu daily, leo hii kila kadi hasimu inalipiwa 1000sh per month. Huoni haya, unabaki kuongelea kifo cha chama flani. Utakufa wewe kabla ya hicho/hao unaodhani watakufa!.
TID anabore, onetime aliwahi pigiwa simu na Sud Brown akapokea mkewe akaanza kutukuna matusi yasiyofaa hata mbele ya jamii, huku akijua aarekodiwa. Ni Kiburi na dharau tu. Asipobadirika atapotea
Mwisho wa utawala wa hawa jamaa huenda "Ili kuanagalia channel tano za ndani ya BONGO lazima uwe na VING'AMUZI VITANO (5) TOFAUTI." Maana baadhi ya channel hata sisi tunaotumia Cable hatuzipati tena.
WIZI MTUUUPU...
Si mnakumbuka wakati ule, yule mtu alipokuwa anaomba kura za kuingia madarakani, akaahidi mishahara minono kwa wafanyakazi wa serikali, lakini mpaka leo zimebaki story, tulichokishuhudia ni POSHO ZA WABUNGE KUPANDA...
TAFAKARI... CHUKUA HATUA...
Kuishi kwa tetesi ni sawa...
[COLOR="#FF0000"]Kwani kuna sheria gani inayombana mbunge kutoonyesha au kufanya kazi za kipaji chake either kwa kujifurahisha au kutoa ujumbe kusaidia jamii hata awe matatani????
huo ni mpango wa kuanzisha bunge kusimamia yenyewe urushaji wa matangazo ili waweze kufanya jambo lolote endapo wamebanwa na upinzani mf. kukatisha matangazo, kutoonesha wabunge wanaosinzia bungeni na kupendelea zaidi chama tawala
UKWELI UNAMCHOMA MWENYE KULENGWA, Hakuna anacho chochea ila ukweli ndiyo unawachoma walio wengi wenye kuogopa kusema ukweli kwa kisingizio cha kulinda amani. AMANI hailindwi kwa kusema uongo na kukumbatia maovu kwa kuficha ukweli
Serikali haina fedha za kutufadhili katika mipango ya kuwasaidia walio wengi kama huduma za afya, shule n.k. lakini kwa wakubwa wanatumia watakavyo hata hicho kidogo tunacokusanya kwa manufaa yao..
Baba mmoja alikuwa mkali sana si kwa mke wake tu, bali hata kwa watoto wake. Bahati nzuri au mbaya alikuwa akienda kuoga llazima aanze na haja kubwa kwanza then ndo anaoga, na alipendelea kuoga maji ya vuguvugu...
Siku moja Mama na Watoto wakaamua nao kumkomesha Baba mwenyenyumba,
basi...
Dr. W. Slaa
1. Ni kiongozi shupavu asiye na woga katika mambo yake.
2. Umri wake, si rahisi kumuhusianisha na kashfa za ujanami.
3. Anasifa za nzuri za kielimu na ujuzi mkubwa wa kiuongozi tena kwa uadilifu mkubwa.
4. Amejitoa kwa ajili ya kusaidia mamilioni ya watu wa tanzania.
Dogo Tundu alikuwa anapiga stori na dingi yake mara demu wake akatokea....!
Dah...! Dogo Tundu akaamua kutumia akili ya kuzaliwa ili dingi yake asijue chochote kati yao,
maongezi na demu wake yakawa hivi...
Dogo Tundu: Umekuja kuchukua kitabu cha Speak English my father don't know?!
Dem: Ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.