Habari Wanajamvi.
Tunafuraha kuwaunganisha moja kwa moja kupitia Television ya Taifa ili kuwaletea hotuba ya Mh. Rais Dr. Jakaya Kikwete akihutubia Bunge leo hii.
Kiunganishi chetu cha matangazo mtandaoni ni kilekile:
StarTV Live | StarTV
Karibuni na endelea Kutazama Star TV.
Ndugu albani,
Pole na asante kwa kutujulisha tatizo hili. Tumerekebisha na sasa sauti ipo kama kawaida.
Kiunganishi: StarTV Live | StarTV
Shukrani na endelea kutazama Star TV.
Mkuu,
Tunaonekana kwenye Star Times kutokana na makubaliano na mazungumzo yanayoendelea ili kuwa na maslahi kwa wote kibiashara na kwa ajili ya kutoa huduma ya habari na burudani kwa jamii, na si vinginevyo.
Asante.
Ndugu Jabulani, Asante kwa swali murua kabisa.
Habari hii ni kwa lengo jema la kueneza ufahamu kwa Watanzania ya kwamba; yumkin Mtanzania ananuia kununua king'amuzi kwa ajili ya kuona matangazo ya dijitali ya chaneli ambazo ni FTA - basi king'amuzi hicho kama kina ubora unaofaa pasipokutegemea...
Siku kadhaa baada ya habari hapo juu - yaliyojiri ni kama ifuatavyo:
Nukuu ya habari kutoka: Startimes Kenya Launches Free-To-Air Decoders - Nairobi Wire
Habari hiyo pia iliandikwa kama ifuatavyo:
Nukuu ya habari kutoka...
Ndugu MwanaJF, tafadhali pata wasaa wa kujisomea yaliyojiri kwa majirani zetu Kenya, hatimaye wakatangaziwa maboresho ya ving'amuzi walivyokuwa wakiuziwa awali kwa ajili ya kupokelea matangazo yanayorushwa na chaneli zilizo bainishwa kama za bure, yaani Free-To-Air (FTA):
Nukuhu ya habari...
Kwa taarifa kamili pakua file lililoambatanishwa:
Taarifa kwa vyombo vya habari kuhusu Star TV kujiondoa Star Times.
Tarehe 23 Mei 2013 Star TV kupitia mwanasheria wake iliwataka Star-Times kuiondoa kwenye kingamuzi chao ifikapo saa sita usiku wa tarehe 31 Mei kutokana na kurusha na kuuza...
Ni mara nyingine tena tunafuraha ya kurusha matangazo ya moja kwa moja ya fainali za Miss Tanzania, 2012.
Unaweza kufatilia matangazo yetu kwenye link ifuatayo:
Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE
​Ahsanteni.
Karibuni tena siku ya leo WanaJF kwenye kipindi chetu cha Watanzania Tuongee Asubuhi.
Mada yetu ya leo inahusu ni ipi misingi ya kuendeleza amani Tanzania.
Host Mwanza: Yahya Mohamed
Host DSM: Joyce Mwakalinga
Wageni wetu Dar:
Bwn. Nape Nnauye
Bwn. Juju Danda
Mh. Tundu Lissu
Wageni wetu...
Wana JF, tukielekea ukingoni mwa kipindi, napenda kuwashukuru kwa maswali mengi yenye changamoto kubwa katika matayarisho yetu kama jamii kuingia mfumo wa digitali. Akhsanteni.
Ndugu Wana JF, tunashukuru kwa ushirikiano wenu. Tunapenda kuwaarifu kuwa kipindi hiki kitamalizika saa nne na dk 50 (22:50 EAT) badala ya 22:30 kama tulivyopanga awali kutokana na kipindi kuanza nje ya muda tuliokusudia awali.
Aksanteni.
Ndugu Wana JF,
Tunapenda kuwatangazia kwamba, usiku huu, kuanzia saa tatu na nusu mpaka saa nne na nusu (21:30 - 22:30 EAT) tutakuwa na kipindi cha moja kwa moja (LIVE) kwenye station yetu ya Star TV.
Wageni wetu watakuwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA).
Tunapenda kuchukua fursa hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.