Wewe ni msenge choko mwenye akili isiyokuwa na akili! Mbowe amedhulumiwa na kuharibiwa Mali zake mara ngapi kama una akili? Kisa Cha kufungiwa Tanzania daima na jengo lake la Bilicanas si dhuluma na ukatili wa yule shetani Magufuli! Kama gazeti lilifungiwa yeye angewalipa kutoka wapi kwani...
Mwenyezi Mungu akakataa katakata Lissu asife akaamua kuliua lenyewe sheitwani baradhuli eti linajiita Jiwe au Kichaa! Liendelee kuungua milele na milele huko Jehanamu!
Akili yako matope kabisa; hebu twambie Vicky kaonewa vipi na wapi?!
Hukumu imesema ndoa ya Vick ilikuwa batili kwa sababu ndoa ya Likwelile ilikuwa hai licha ya mkewe kufariki![emoji31]
Kifo hakivunji ndoa bali huwatenganisha wanandoa tu kama ambavyo mahakama inaweza kuwatenganisha kwa muda...
Huyo Mwenye kiti ni chawa tu hana lolote, kwanini kama anaubavu na hoja zote zilikuwa na PM angependa kwenye kikao cha L'issu apambanishe hoja zake na L'issu akione cha mtema kuni!
Angefika pale atoe maelezo yake msenge huyo! Apuuzwe!
Hapana, Magufuli tulimchukia Sana kwa sababu za msingi na sababu kubwa za kumchukia Magufuli ni kuendesha nchi kama kampuni ya mama yake, kuunda vikosi vya kiharamia kuumiza watu, kusigina katiba na haki za BinAdamu!
Ushenzi unaofanyika sasa hivi hauwezi kuwa sababu ya kumsafisha Magufuli hata...
Muongo mkubwa asimsingizie marehemu!
DP World imeibuliwa October 2022 kwenye Dubai expo, JPM alifariki march 2021!
Hili ni la Samia, wasimpake matope JPM apumzike zake!
Anachosema ni kweli, party caucus ikishakubaliana na kwaujibu wa idadi yao Bungeni Hilo limeishaa!
Bora Mungu alisitisha uhai wa Magufuli, alituharibia mifumo ya utawala maana Bunge hili la sasa lingekuwa half half mafisiemu wangekiona Cha mtema Kuni! [emoji3525]
Kama Waarabu ndio muarobaini wa mashirika yetu yote yanayosuasia basi hata haya yote hayafanyi vizuri wawape Waarabu kila kitu:-
1. Ikulu
2. Polisi
3. TRC reli
4. Tanesco
5. Air Tanzania
6. Tanapa
7. Ngorongoro CAA
8. JNHPP
9. TRA
10. AICC
11. Bunge
12....…..........
13...
Kenya haiwezi kuipa Tanzania free promo na hawatakaa wafanye hivyo! Hata Sisi tumewahi kutamka kwamba "Kenya is a man eat man society Wala hatujawahi kuwapa credit kwamba Kenya is the largest economy in EA!
Solution ni sisi wenyewe kuipromote Tanzania world-wide ili waitambue "as an independent...
Katika Dunia/maisha hakuna kitu chochote kinachochukiwa na kila mtu hata kiwe Cha hovyo kiasi kama Magufuli vile!
Wanyiha wa Songwe wana kamsemo kao kwamba: "One man's terrorist is another man's freedom fighter"!
Sisi tunaomchukia Magufuli with a passion tunatosha, Masukumagang na mazuzu hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.