Hata hivyo mheshimiwa huyo ana kashafa nyingi machoni pa watanzania ikiwemo ya kupenda mabinti wadogo.Pia anadaiwa shule ilimshinda form 2 baada ya kufukuzwa shule na mwl Yamsebo (mgombea wa CHADEMA).Kwa hali hii angeongoza vipi Sumbawanga?
Kama walivyopata ujasiri wa kubinafsisha viwanda nawaomba ccm watumie ujasiri huo huo kubinafsisha serikali kwa manufaa ya umma.Naamini chama kubwa CHADEMA wako tayari kuwasaidia.''Nia tunayo,sababu tunayo........''
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.