Nilishangaa sana!!!! Akasema tena eti mtoto wake amedhaminiwa kuvalishwa mwaka mzima na duka maarufu dar Eti nayo maendeleo!!! Sijui huko international wanaongeaje
Acha uongo Mtungireh alikuwa mbunge wa Kyelwa karangwe, ambapo kwa sasa linashikiliwa na Katagira kutoka CCM. Unaropoka wakati hata data ndogo tu hiyo inakushinda.
wakuu kuna mtu alitupia uzi humu kuwa atakuwepo Mwigulu Nchemba kwenye kipindi cha dakika45 ITV soo nikadharau nikuagalia nikajua ni pumba zake tu! kumbe alikuwepo mtu mzima! sijui kulikuwa na maana gani ya kupotosha
tutajie kwanza wamiliki wa KAGODA, wezi wa EPA, waliohusika kwenye ununuzi wa RADA. Andthen ndo uje ututajie wafadhili wa Chadema!! Nyie wakati mna sign mikataba ya madini Uingereza tena hotelini mnadhania c wajinga! We dogo modulaoblanga yako siyo nzima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.