Habari wana jamvi, nina nia ya kufungua biashara ya spare za magari makubwa naomba ushauri kwa yeyote mwenye uzoefu wa mtaji wa kuanzia, location, manunuzi n.k
Habari za humu wana jamii,
Kuna duka moja la nguo na vitu vingine vya kıume lilikikuwa mtaa wa ZANAKI mjini Dar es salam limehamishwa/ kufunhwa naomba kujua anaefahamu wamehamia wapi au duka lingine ambalo naweza kupata vitu kama vya AK’s FASHION
Shukrani
Habari za leo wakuu,
Ni imani yangu kuwa mko wazima na mnaendelea na shughuli zenu za kila siku, niende kwenye mada nina kijana wangu wangu amemaliza HGE kidato cha sita na alikuwa anatamani sana kusoma ECONOMICS katika ngazi ya chuo.
Ombi langu kwenu ni kupata mawazo yenu kama ni sahihi...
Habar za humu wakuu,
Naomba msaada wa kisheria kuhusu tatizo linalonisumbua.Ni hivi mnamo mwaka 2018 mwezi wa sita nillipata ajali ya gari ikihusisha gari yangu na niliendesha mwenyewe na gari yakampuni moja ya usafirishaji wa abiria jijni Dar es salaam almaarufu kam ......
Traffic alikuja na...
Habari wakuu,
Kuna tatizo la heart failure kwa wanawake wanaojifungua nafikiri tatizo hili linasababisha vifo vya kina mama wengi sana lakini sijui kama mimi ndio nilikuwa silijua au wengi pia hatulifahamu na kwanini elimu juu ya tatizo hili haitolewi wakati wa clinic kwa kinamama.
Iko hivi...
Habari za asubuhi.
Naomba kufahamishwa gharama za kujenga msingi wa jengo lenye ghorofa kumi kwenye kiwanja cha sqm 400.Naomba ifahamike hapa kwamba kiwanja kitakuwa "full utilized"
Naomba engineers tafadhari ushauri wenu wa kitalaam. Kwa kuongezea jengo lenyewe litakuwa mahusus kwa ajili ya...
Wanajamii naombeni mtizamo wenu kwenye hili:
Mim ni kjana nimeoa na nina mtoto 1 na ninafanya kazi serkalin, sasa ofisin kwetu kuna mdada kaolewa kwa sasa ana watoto 2 na huyo mtoto wa pili hapishani sana kiumri na mwanangu.
Wakati nafanya mipango ya harusi alikuwa ananitania sana pale ofcn...
Ndio wana JF
Naomba kuuliza kuna habari kwamba ili kujua siku anazojifungu mwanamke mjamzito unaweza kuanza kuhesabu siku kwa kutumia ultra sound iliyopigwa ndani ya wiki nane mpaka kumi na mbili.Naomben mawazo yenu na maelezo ya ziada kama yapo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.