Habari wana jamvi, nina nia ya kufungua biashara ya spare za magari makubwa naomba ushauri kwa yeyote mwenye uzoefu wa mtaji wa kuanzia, location, manunuzi n.k
Habari za humu wana jamii,
Kuna duka moja la nguo na vitu vingine vya kıume lilikikuwa mtaa wa ZANAKI mjini Dar es salam limehamishwa/ kufunhwa naomba kujua anaefahamu wamehamia wapi au duka lingine ambalo naweza kupata vitu kama vya AK’s FASHION
Shukrani
Kaka umeelezea vizuri sana ahsante kwa moyo wako hakika Mwenye nia ya kweli amejifunza kitu naomba ushauri wako mim nimejenga nikanunua vyoo vile vya kuchimbia Matank ukutani sasa fundi hakunishauri vizuri nikamwaga na zege sehemu niliyoweka matank sasa Kuna tank moja choo chake ni European( cha...
Kaka umeelezea vizuri sana ahsante kwa moyo wako hakika Mwenye nia ya kweli amejifunza kitu naomba ushauri wako mim nimejenga nikanunua vyoo vile vya kuchimbia Matank ukutani sasa fundi hakunishauri vizuri nikamwaga na zege sehemu niliyoweka matank sasa Kuna tank moja choo chake ni European( cha...
kuna maduka mengi tu brother nenda spanish tiles pale victoria, line hiyo hiyo kuna duka lina bango kubwa la grohe na duka lingine ni dar ceramica haya yapo kariakoo na njia ya kawe mbele kidogo ya clouds kama upo Dar es salaam .
Mkuu umeiweka vizuri sana hongera kwa hilo hivi katika kuchimba kisima nawezaje kujua kama nikichimba kisima napata maji ya chumvi kidogo au chumvi nyingi?
Mtafute afisa mwandamizi hapo hapo voda hilo suala ni kweli voda wana uwezo nalo wakati mwingine maafisa wadogo front desk officers wanakuwa na uelewa mdogo na vitu wanavyofanya.
Hongera sana mdau kwa kupata wazo hili napenda sana mawazo kama ya kwako nakutakia kila la kheri ushauri wangu ni kwamba mambo ya uzalishaji wa chakula yana taratibu zake hivyo basi kuepuka kuingia gharama sizizokuwa za lazima fuatilia utaratibu mzima kabla hujaanza kuimplement then kuhusu...
Hii unayosema kitaalam inaitwa dry orgasm yaan unapata mshindo bila kuijaculate hii inaweza kukupa pleasure kama unavyoijaculate kawaida lakin ina madhara yake kwani hapo ni kwamba sperm zikitoka zinarudi kupitia njia ya mkojo na baadae unazitoa na mkojo ila hii wanasema inaweza kusabanisha...
Mkuu uzi wako ni mzuri sana ila huu ni uzi ambao huwezi kupata wachangiaji wengi, mim nakushauri kama unataka kufanya biashara na nchi za SADC AU EAC basi ukiingiza mzigo kutoka kwenye nchi hizo hutalipa ushuru wa bidhaa kwa maaana ya import duty mfano wa hizo nchi ni kenya uganda, rwanda...
Mim sipo mzuri kwenye hii mada ila natoa uzoefu wangu binafsi, wasemavyo ni kwamba sio kila mwanamke anatoa hayo maji ila kuna ukanda ambao wengi wanatoa maji kama bukoba, rwanda, uganda na kaskazini ( arusha na moshi ) kidogo. Kwa wenzetu wahaya yapo sana ila pia kuna tumbegu flani hivi...
Hongera kwa kuweza kutafuta kiasi kama hicho wazo lako ni zuri lakin kama ulivyoshauriwa hapo juu kwanza baishara gani ambayo iko moyoni mwako( japo sio lazima sana ) mpate mtu anaefanya hiyo biashara muombe akushike mkono akiwa na roho ya kukusaidia utatoboa lakin asipokuwa nayo utapoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.