MASWALI SABA YA KUJIULIZA SISI KAMA WANANCHI
HOJA ;Mapendekezo ya Wananchi kupitia Tume ya Jaji Warioba na Mapitio ya Rasimu yapili yaliyofanywa na Bunge Maalumu la Katiba yamekuwa na Uwiano wa 80% -Wananchi na 20% - Bunge.
SWALI LA KWANZA;(a) Kwanini maoni na matakwa ya Wanachihayakukubalika...
MAMBO MUHIMU KUYAFAHAMU KUHUSU KATIBA PENDEKEZWA
YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
MASWALI SABA YA KUJIULIZA SISI KAMA WANANCHI
HOJA ; Mapendekezo ya Wananchi kupitia Tume ya Jaji Warioba na Mapitio ya Rasimu ya pili yaliyofanywa na Bunge Maalumu la Katiba yamekuwa na Uwiano wa 80% -...
Kulikua pia na yale ya kichwa cha ng'ombe kama Kishari Bus Service, Ushirika Karmeli,Nyota Bus service! Hapa Arusha kulikua na Nyuki Bus Service kwenda Babati/Kondoa na Highland Bus Service na Sabena Bus service! Enzi ni Enzi tu!:smile-big:
Kwa maoni yangu! Nape anakazi ya kukishauri chama kutambua uwepo wa enzi, alama za nyakati, na hivyo kujenga ustaarabu wa kukubali mbio za kupokezana vijiti katika kutawala nchi! Hakuna kinachoitesa CCM zaidi ya kuandaa mazingira bora ya kupokeza kijiti! Hou ndio ustaarabu unaohitajika kwa...
Nawaomba mtambue kuwa hata siku moja MUNGU hakushuka duniani kuleta mabadiliko! Nyakati zote alitumia watu either positivel or negatively, hivyo JK ni mmoja wapo wa watumika! Mpango wa Mungu juu ya MAUMIVU ya Watanzania unachkua kasi towards 2015! Mkono wake umeingia ndani! Kinachoendelea ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.