Search results

  1. Ombudsman

    TRA kumchunguza Askofu Kakobe baada ya kumsikia akisema ana hela kuliko Serikali

    Serikali imechanganyikiwa, hajui ni jinsi gani wataweza kumnyamazisha Kakobe. Usalama, TRA, Ccm, Gambo wote wanatapata kumnyamazisha Kakobe.
  2. Ombudsman

    Kwanini Makonda hakumuita Askofu Pengo?

    Muuza madawa
  3. Ombudsman

    Kupotea kwa mkuu Stroke na vijana wa Lumumba JF

    Ile mirija imekatwa yote, wameambiwa watafute kazi za kufanya na sio kutegemea tena buku 7 za huruma.
  4. Ombudsman

    Serikali: Pato la Taifa limekua kwa 6.8% ikilinganishwa na 7.7% ya mwaka jana. Uchumi haujaporomoka!

    Alitakiwa kusema pato la taifa limeshuka kutoka 7.7% mpaka 6.8% ikilinganishwa na pato la mwaka jana.
  5. Ombudsman

    Intelijensia TISS ni walinzi binafsi wa Rais?

    Nenda ukaulize watu wanaokaa karibu na makazi ya hao Tiss ndio utajua jinsi walivyo na vurugu. Kuanzia uendeshaji wao magari mpaka kuongea kwao. Afadhali wanajeshi, hawa wengine wana vurugu sana.
  6. Ombudsman

    Ni wakati sahihi wa Rais kutubu kwa yale yote yaliotokea kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa.

    Sasa hivi Kakobe kadanganya uraia wake? Hivi nyie akili zenu zimefungiwa wapi?
  7. Ombudsman

    Ni wakati sahihi wa Rais kutubu kwa yale yote yaliotokea kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa.

    Nimetubu, siwezi kuanza mwaka mwingine bila ya kutubu.
  8. Ombudsman

    Ni wakati sahihi wa Rais kutubu kwa yale yote yaliotokea kuanzia mwaka 2015 mpaka sasa.

    Sijaleta uzi hapa hili nipate kiki, nimechambua mambo yaliyotokea chini ya awamu ya Rais mpaka sasa. Ana maswali mengi ya kujibu na ipo siku ataulizwa kwanini watanzania walikua wanauliwa chini ya utawala wako.
  9. Ombudsman

    Kuelekea kufunga mwaka, Ni yupi mrembo wa JF 2017.?!

    Sky Eclat, mwanamke mwenye akili na roho ya huruma.
  10. Ombudsman

    Askofu Bagonza: Hoja hufungwa kwa hoja, si kwa kifungo wala mahabusu

    Mkiendelea hivi atakimbilia Rwanda.
Back
Top Bottom