Nenda ukaulize watu wanaokaa karibu na makazi ya hao Tiss ndio utajua jinsi walivyo na vurugu. Kuanzia uendeshaji wao magari mpaka kuongea kwao. Afadhali wanajeshi, hawa wengine wana vurugu sana.
Sijaleta uzi hapa hili nipate kiki, nimechambua mambo yaliyotokea chini ya awamu ya Rais mpaka sasa. Ana maswali mengi ya kujibu na ipo siku ataulizwa kwanini watanzania walikua wanauliwa chini ya utawala wako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.