unajua hy jamaa kaenda na m2 ngapi hk brazil? M2 21,yeye na waziri wake,na vidosho vyao,wanaka hotel tofauti na hz m2 zingine,wanakaa 5*htl prezdensho suit ya dola 820 per day,na hao wengine ni usd 500 per day
he! Judi, unakuwaje tena? Mbona ushua wenyewe siuoni?tena kwa jinsi ulivyo, mi nakushauri uapply,coz unavutia,afu kabila lenu mule wamo kibao! Ila na wasiwasi na huo urefu. Na huko kuogelea.
je mnaweza kuamini kuna mtanzania hapa dar anafanyakazi kampuni moja ya simu ya hapahapa tz,analipwa tsh.6omillion???!!! Nina ushahidi wa kutosha coz nimeona saraly sleep yake,na nikaipiga picha ktk cm yangu. Ila nahofia maisha yangu,kwani ana bastola zaidi ya mbili, na ni halali,moja kati ya...
je mnaweza kuamini kuna mtanzania hapa dar anafanyakazi kampuni moja ya simu ya hapahapa tz,analipwa tsh.6omillion???!!! Nina ushahidi wa kutosha coz nimeona saraly sleep yake,na nikaipiga picha ktk cm yangu. Ila nahofia maisha yangu,kwani ana bastola zaidi ya mbili, na ni halali,moja kati ya...
scrabing saloon zipo tele hata huku kwetu mza, sauna ndo ucseme ! Hebu 2jaribuni jamani ili ukikosa, watu waseme ndio, likini alijitahidi kuliko kwenda kukaa kwenye majlisi za mrungi!!
jamani mi naenda jaribu, ya mungu mengi,nimefanya kazi ya kuhudumia wateja sana pale salma cone, kibaya mi ni mfupi na mnene cjui nitawavutia?! Kuhusu u-good looking, nahakikisha naenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.