usilolijua kweli usiku wa giza, Inawezekana ikawa tafsiri ya ufisadi ya huku bara ni tafauti na ile ya Zanzibar, ila kimsingi si kubaliani na hoja hiyo
Nakumbuka waliiambiwa kuwa wataanza kazi mwezi huu , na ndio kwanza watu wanatoka kwenye Mei Mosi, wengine wapo kwenye matayarisho ya budget.
Hivi lakini kwanini waache kazi , hapo mbona sijafahamu, kwani hii si ni kazi ya muda tu. nahisi wangeeomba likizo tu kwa manufaa ya TAIFA
Ni vizuri tumeanza kupokea maoni, Nashauri na wengine wetu pia tutoe maoni yetu kwa mujibu tunavyotaka KATIBA yetu iwe.
Bila ya shaka Mabadiliko ya KATIBA yetu ni lazima yatokana na mawazo yetu wenyewe,
Ni vyema kama hatutosubiri mpaka Serikali ama tume watuletee mapendekezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.