kadiri umavyozidi kuchat zinashika chanel nyingi
leo setanta africa inaonesha,,dunai sports,dubai one,stv kungfu,guide,wale wa na zile 11 za awali zipo kama kawaida,,za dini zipo kama 30,,ikiwemo atn 1 and 2,
kuhusu kuscrach unaweza ukaset antena yako ya nje mfano wa hizo za startimes...
samahani kwa kukawia kutoa maelezo.
1.bonyeza menu katika remote yako
2.nenda kwenye commom setting
3.chagua facctory setting
5.passwod ''0000''then wait
6.baada ya hapo nenda kwenye search achana na language then wait itakuwa ina scan
utapata all chanels
Hii ndio jamii forum,hatufanyi kazi ya ku like mawazo ya kipuuzi kama facebook,huku kazi ni moja tu kuonesha vitendo wala si ku tag picha,tunaelimisha jamii wala hatuna habari na mtu,INSHALLAH Mubarikiwe ninyi mliofanya mtokeo haya kuwa hewani kwenye forum za wasomi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.