kuna watu wana hela za mchezo jamani?
ivi mtu hakujui humjui imetokea bahati mbaya kuonana tu kwa siku moja.
na gari anakupa kama zawadi we mdada una bahati isiyo ya kawaida kama ni kweli?
na hali hi ya utawala wa kibabe kumbe bado kuna wenye jeuri ya pesa.
hi ndio faida ya jf hujuti wala kupoteza muda ukiwa jf hupotezi muda badili unapata marifa makubwa ya kujitambua na kujiongoza.
nafuraha sana na jf yangu hii kwani imekuwa ikinifunza mambo mengi sana. ubarikiwe mtoa mada tunaku subiri utufunulie mambo zaidi.
mtoto mdogo sana we bwana mdogo
acha tamaa yake20% sikiliza ule wimbo 18 unakimbilia papuchi sijui nini we tulia soma dogo.
wanawake wapo kila siku na wanazidi kuzaliwa wazuri zaidi .18 hii miaka yako na kuanza kujiumiza na mapenzi ivi.unajitesa bure..
bora tu idondoke makufuli ana tuzingua tu.. tukifa wote si mnajua kama kawaida kuna maisha mapya haya tunayo ishi nikama ndoto tupo tumelala tukija kuamka ndio kufa kwenyewe na kuishi maisha mengine.?
hapo ndipo napo shanga kumuona mtuu kasoma na viuo mpaka india ila akili yake ipo pale pale utombo mtupu haina haja ya kusoma kama na walio soma wanashindwa kuwa muhimu katika jamii zetu. bure kabisa elimu tuzipewzo.
sio mzima kichwani huyu ana akili kama za yule mvaa nepi za watoto .
lak5 si mshara wa mtu mwezi mzima huo yeye anapewa kila siku....
apeleke mitako yake huko.!?
mtoa mada pengine kazoea kukariri .
raha ya mziki ni utamani ku sikiliza tena we lile beat la dar mpaka moro chege kaweka mambo mule
wee. pita ivi mziki hu ujui vizur wewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.