Shamba la heka 20 linauzwa Njombe,kando kabisa ya barabara ya Songea.Lina miti ya mbao aina ya Pines yenye miaka minne.Bei ni sh Milioni moja kwa heka.Lipo eneo zuri na linafikika kwa urahisi sana.Kwa anayehitaji,tafadhali nitumie ujumbe Private.
Hello members.
Ninatoa ushauri kuhusu kupunguza uzito wa mwili na mimi mwenyewe nikiwa mfano kwa jinsi nilivyoweza kupunguza kilo 45 ndani ya mwaka mmoja kwa kufanya mazoezi na kula mlo sahihi.
Mwenye uhitaji just send private message.
Thanks.
Karibuni katika fursa hii isiyo ya muda mrefu katika soko la Tanzania.Ni fursa nzuri ya kutumia na kuuza kahawa nzuri isiyo na caffeine na yenye mchanganyiko wa uyoga mwekundu muhimu kabisa kwa afya yako.Ukiwa interested just send me direct text..nitarespond.
Sasa hapo unashangaa nini wakati wote mmekutana mara ya kwanza,basi na wewe mrahisi vilevile!!au ndio ile kujisaidia ajisaidie kuku akijisaidia bata kaha..!!mmfyuuuuu
Mmmh hivi kunamwanamke wa hivi hadi leo??nina degree yangu pia na sipendi kuajiriwa,ila ninafanya shughuli zangu za ujasiriamali,so its ok kama hapendi kuajiriawa,lakini sasa utakaa tuu jamani hujishughulishi na chochote hata kama mume anapesa??Who can predict the future??Ooh nadhani mkeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.