Walisema eti Nyerere akifa machafuko yatatokea na damu itamwagika, mbona sijasikia hayo. Eti Muungano ukizimia eti tutaangamia, huo ni utovu wa nidhamu. Mbona Azimio la Arusha lilizimia na Kufa puu na hakua liyekufa? Mbona Zanzibar haiku badili jina na badala yake iwe kwa Tanganyika kuwekwa...
Mimi ni Mchaga, niliambiwa na dingi kuwa popote niendapo ni jenge, nilime na nikipata mashamba ninunuea kuwa hana kitu cha kunipa. Kwa hasira niliona kaninyima haki yangu ya urithi kumbe alinifungua akili ya kujitegemea. Nilifanya mapinduzi kwa nguvu zote. Ka-shamba ka dingi kwa sasa nakaona...
Kama walimponda warioba kwanini wanaendelea kujadili rasimu wasiyoikubali? si waache kujadili. Hivi CHADEMA wangeuwa nao wangeingia bungei na katiba mbadala kama CCM si kungewaka mojo. Bora walisusia uvundo. Najiuliza kwanini Tunasherehekea Uhuru wa Tanganyika mbayo haipo?
Mungu ana siri kubwa sana na mwanadamu, leo mkisema ee Mungu kwa dhati kwa kuomba na kufunga CCM isambaratike kama KANU haitachukua miaka 5 ombi litakuwa limejibiwa ila kwa uchawi, ushirikina na visasi itachukua muda, pia njia ya muovu ni fupi Mungu hatavumilia.
Kwani TB Joshua huwa anatabiri nini?
Anyway, kwangu amtabiri wa matokeo ya mpira kuwa sehemu ya Unabii naona ni sama na kupiga ramli. Ni bora mtu mwingine kama mimi nikatabiri kwa mtizamo kwa kuangalia viwango vya timu husika. TB Joshua siyo Nabii, ni tapeli wa kivuli hicho, tena ni urgent wa...
Katia nchi ya thailalnd ni ruksa na kodi wanalipa, ni aina ya Utalii na wanaoshiriki hupimwa na wanaleseni ya shughuli hii ya nyetini inayofanywa na Watalii wa kiume na kike. Unaweza kuwa na mke/mme aliyeajiriwa na Lodge ya kitalii kwa ajili ya kupigwa/kupiga watalii miti. Hii ni aina pia ya...
kwa umbea, wivu na ushirikina ni kiboko. Usipange karibu na mpare hata nguo za ndani huzishughulikia. Wapare hufunga mvua zisinyeshe ili mazao yakauke ng'ombe wao wapate chakula, ovyo tu. Thi, thi,thi,thi,thi ila ni wazuri kwa sura 70-70%, tabia 1-2%
jitahidi ndu ndugu yangu, Mungu akusaidie upate huko ila wale ni slow actor kuliko benki zote hapa Tanzania na kwingineko duniani. Hawana haraka utadhani walilazimishwa kuajiriwa.
Mtu mwenye miaka 40 bado ni kijana na ni muda wa kuchacharika; miaka 40 imeipata wapi? Na kigezo ni kipi, kwa nini hukuanzia 30, 41 au zaidi ya ujana hadi umri wa kati? Utafiti huu uliufanya wapi na kwa kipimo gani? Lete data.
Inanikumbusha udongo kutoka migodini kwenda kuchechekchwa ulaya(ugaibuni); uhakiki wa kilichopo kwenye udongo uko wapi?. Lakini mtwara si kule walihongwa sanda kwa atayekufa apewe bure? Maandamano yao siyo chochote kwanza lazima gesi hiyo ifike moshi, arusha na babati. Mbona mnapata huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.