Search results

  1. M

    Hasira hazijatosha, haiwezekani JK adharau na sisi tukae kimya..!

    Hii ya leo kali.nshasema tuliingia mkenge na hawa jk na ccm.nyerere alitwambia kuwa jamaa hajakomaa kiakili tukapuuza.ndugu zangu watz,tusipochukua maamuz magumu kama ya wamisir, nchi yetu iko hatarini.jk hana nia njema hata kidogo na nchi hii.ameamua kuitelekeza.nasis kama tuna muunga mkono...
  2. M

    Zitto aomba Bunge la dharura kumjadili Pinda

    Rweyemam ameumbuka.kwanin alikanusha habar ya tanz.daima?
  3. M

    Zitto na Halima wamwita January Makamba mnafiki

    Sikia wa ndg,ukimuona mtu yuko ccm muogope sana.ukidhan nyani anaangalia kama binadamu,jaribu kumuachia shamba la mahindi uone.mnawakumbuka akina kilango,sita,sendeka,mwakyembe na wenzao.wamegoma kuachana na ccm licha ya kujifanya wanipenda tz kumbe wanapenda matumbo yao
  4. M

    PINDA - Nitatoa Maamuzi yote Jumatatu

    Mafisadi hao utawafanyaje?nchi imeingia kwenye tope zito,wanasubiri karandinga la nguvu ya umma kuitoa.wizi mtupu
  5. M

    Tabia chafu ya TBC

    Magamba walimuondoa tido baada ya kuona amekuja na viwango vya bbc,wakatukea jamaa anaitwa mshana,huyu ni tutusa hana lolote,anatete unga,lkn aangalie cku inakuja atalia na kusaga meno
  6. M

    Zitto Zuberi Kabwe soma huu waraka ukusaidie kutekeleza azimio lako la hoja binafsi

    Kuna ndg zangu wengine wanaamin kuwa akina sita,mwakyembe,kilango na sendeka wana dhamira ya dhati dhidi ya ufisad,niwambie ambao bado mnaiman na hao jamaa ondoa kabisa.kama kwel wangekuwa wanauchukia ufisad wangekuwa wameondoka ndan ya ccm kama mpendazoe.hao ni wanafik wakutupwa.walipanga...
  7. M

    Mawaziri wanane watakiwa kung'oka...!

    Mkuu tupatie majina ya walijiuzuru
  8. M

    Sitta alikuwa sahihi kuhusu Makinda?

    Kwenye kampen arumeru nilisikia eti makinda hajaolewa,inawezekana anapoingia bungen anakuwa na mastress kibao kwahiyo yanaathiri kufikiri kwake na maamuzi yake pia.uthibitisho halis:leo kamuita mnyika eti jambazi lako' hii ni hatari,hatuna spika jaman
  9. M

    Kutoka Bungeni - Jumamosi 21, Aprili 2012 (Videos)

    Makinda hii na aibu,kwel hujui kama WAMA ni taasis ya serikal au la?ama kweli mara hii tunaye spika bomu.ndo maana mnafiki sita alisema aliondolewa kifisadi kwenye kinyanganyiro
  10. M

    Nilizuia umwagaji wa damu Tanzania-Dr Slaa

    Dr tunakushukuru kwa busara zako maana hadi sasa najua tume ya uchafuzi ilichakachua kura zako.niulize,je ukichakachuliwa tena utanyamaza?
  11. M

    Wasifu wa Deo Filikunjombe

    huyu jamaa ni kamanda anastahili kuvaa gwanda.hakika si mnafiki,maana wapo wengi ccm wameshindwa kutia sain.bravo deo
Back
Top Bottom