Hivi ndugu zangu wa tanganyika enough is enough mpaka lini tutaendelea kunyanyasika na hii serikali ya ccm? Nadhani wakati umefika inabidi tuamke nasisitiza kuamke ndugu zangu tuweke uoga pembeni na kusimama kulipigania taifa letu kwajili ya watoto wetu badae. Kila kukicha serikali ya ccm...
Hivi jaman haiwezekani kama makamanda mikoa yote tusimame kwa pamoja nakueleza ccm enough is enough wote tuandamane kama tumeamua iwe mbaya iwe mbaya tu may be kitaeleweka
Mkuu. Mpango mzima wa kustack upo kwenye hizi smartphone sana cha msingi kama alivyo comment mchiz hapo juu punguza applications especially games an pia make sure unapo maliza kutumia application make sure ume exit sio kubonyeza home key moja kw moja m natumia samsung galaxy s nilisha sumbuliwa...
Kwa kweli blog ni.nyingi mpaka kero.an ishu ya copy paste imenea unaweza tembelea blog mpaka.sita zina habari.na picha ile.ile moja nani.za watu.tofauti.sasa sijui ni fashion kuwa na blog au ni ili kutupa updates
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.