Wana wema wa MUNGU, ninahitaji kununua kati ya Spacio au IST second generation (almaarufu new model) kwa ajili ya mizunguko ya kawaida ya kwenda kwenye shughuli zangu ambazo ni takriban km tisa kutoka makazi yangu, kati ya hizo takriban km nne ni vumbi, nyingine ni lami.
Nimependezwa na uimara...
A bit off the topic, but just to be curious; Hao walioua wenzao ili kuficha siri za mahali alipozikwa Khan ni akina nani nao waaminike kuwa wasingeweza kutoa siri mahali alipozikwa?
Wakati wa utoto wetu, tulikuwa tunafurahia sana mvua na ule mwanga, tukiamini kuwa ule mwanga MUNGU alikuwa akitupiga picha, ila zile ngurumo tulijua shetani anaburuza mapipa sasa yanagongana (sikumbuki tuliwaza nini hadi kuamini hivyo).
Nakumbuka radi ikimulika tulipenda kusema, MUNGU tupige...
Hahaha, tena hawa Madiwani ndo ukitaka ukorofishane naye usianze kwa kutamka hilo neno. Tena wale wa viti maalum na wake wa madiwani wa kiume wamejimilikisha jina la mama mheshimiwa!
Lakini huyo DC kaenda mbali sana. Hospital kuna katibu wa Afya, kuna nurse in charge, mganga mfawidhi, bado ktk halmashauri kuna DMO, afisa utumishi na Mkurugenzi. Ina maana alishindwa kutoa maagizo ya utawala kudeal na hilo jambo hadi afanye yeye? Henry Fayol alieleza umuhìmu wa kufuata chain...
Labda kwa kuwa hajalipa kodi ya hiyo biashara, kwamba pengine alitakiwa kutafuta eneo maalum, amuweke mtu wa kuuza ili serikali ipate chake, na Mtz mwingine mmoja kupewa ajira.
Nyie mashabiki wa yanga mnajipa matumaini. Kwanza timu lenu bovu linatuaibisha tu. Na kama yanga angekutana na Al masry angepokea kipondo hevi.
Simba is going to prove you haters wrong. The mighty Simba Sc is known for its record breaking history, and this time our Simba Sc is going to make it.
Kwa thamani yeyote ya hiyo saa, ngoja masela wamuotee! Wakileta kwangu wataniambia tu "mwana cheki mzigo wa kishua huu, kama vipi we tuachie elfu hamsini, ila sema nini mwana, hata twenty siyo mbaya wanao tukajilipue"
Sheria nyingine zote hazichanganyi, ila hiyo namba 11. Kwanza tukio lake ni la haraka sana, linalohusisha mpira, na wachezaji wa timu zote mbili. Embu fafanua zaidi hiyo sheria, labda nitaelewa.
Embu nyie Yanga kuweni wazalendo basi. Kesho tushirikiane kuishabikia Simba, dhidi ya waarabu... Sisi sote ni Watz, na huu ni mpira tu. Michezo ni furaha wajameni.
Dah, japo sijawahi kuishabikia Yanga, lakini nilitegemea ingefanya vyema leo. Matokeo haya yana uhusiano mkubwa na kuongeza morale ya hao waarabu wa Misri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.