Chuki hupofusha.
Huo msemo umebeba maana kubwa sana kwani kupitia comment za ndugu zetu hawa wanaojiita wakooaji wasiopenda uongo, unaona kabisa namna gani na kwa kiwango kipi wamejawa na chuki isiyo kipimo. Kama unaona ni uongo, basi pita hivi na usisome kwani haikupendezi kudanganywa ila...
WAFUGAJI wa wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro wameamua kuhamishia minada ya mifugo katika wilaya zilizo karibu na wilaya hiyo kutokana na sintofahamu iliyoibuka hivi karibuni.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti tofauti, wafugaji hao walieleza kuwa wamekuwa wakinyanyaswa na Mkuu wa Wilaya ambaye...
Maumivu ya kichwa huanza pole pole. Ndivyo ndugu zetu Wa UDA wanavyoanza ila wamesahau kuwa wameanza mapema zaidi kuliko ilivyokuwa hapa jamhuri ya danganyika. Wao wameanza kuonesha makucha mapema sana ila yote kwa yote watafeli tu.
Kwani mkuu unaipenda jamii au huyo bi mkubwa? Fanya mambo yako kwa kufuata kitu moyo unapenda. Umri na jamii ni vitu visivyo na umuhimu katika mapenzi.
Kwa kukushauri tu, ni vema ukachagua kuishi Tukuyu ila katika kijiji cha Kiwira kwani hapo ndiko yaliko hayo maisha uyatakayo. Nimeishi sehemu zote unazozitaja ila pazuri zaidi ni hapo nilipokwambia. Kyela kuna joto kali na maisha ni ghali kama Dar tu.
Sidhani kama iko haja ya wewe kuwa na msukumo mkubwa namna hiyo wa kumtafuta huyo baba yako mzazi. Unachotakiwa kufanya, ni kutuliza akili na kuacha mwaka mmoja upite ndipo uanze mchakato wako.
Ukianza mapema namna hiyo, huyo mlezi wako atapunguza upendo na kusitisha mipango aliyonayo kwako...
Itisha mgegedo wa dharula kisha baada ya shughuli, weka wazi kuwa dogo anatakiwa aende shule ila umekosa doo. Mpe hakikisho kwamba umekwama ila utamrudishia ukizinyaka
Hiyo kitu nimeila sana ila haikuwahi kunitesa. Pia Mishe za kushirikiana na mhasibu kupiga cha juu, nimezipiga sana. Nilikuwa namkopesha hela ya Ada ili anirudishie na riba. Nyakati zingine nikiwa sina Ada, najiandikia risiti ofisini kwako.
Huo ndio msingi wa adabu kwa vizazi vilivyopita. Si wa sasa ambao mtoto anaambiwa 'No Junior, this is bad'. Zamani utapata wapi nafasi ya kuambiwa hivyo? Hapo ni mwendo wa kelbu, konzi na bakora. Halafu ukilia sana unaambiwa una nyodo ndiyo maana unalia muda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.