badwel anaonewa. tunafahamu msimamo wake kuhusu uchimbaji wa urani unaotarajiwa kufanyika jimboni kwake hivyo aliwaandaa wananchi wake wasihame bila malipo sasa hiyo imewakera wakubwa ndo maana wanataka wamuondoe ubunge! ninavyomfahamu anamiliki vituo viwili vya mafuta na alikuwa na pesa kabla...
Wamemtuma awasemee, kwasababu wanaogopa kuianzisha tena mbele ya wananchi!
MIMI NAISHI DODOMA HIYO HOTEL ALIOITOLEA MFANO HAWAISHI KABISA HAPO! HOTEL ZA MITAANI BEI YAKE NI 40000 yaani hiyo ndo ya juu. ASIWADANGANYE HUYO!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.