Pole sana mtoa mada.
Ukweli ni kwamba kwenye kila familia kunakuwa na jambo zuri au baya ambalo linaiandama familia hiyo na huwa inatokana na wazazi na huendelea hadi kizazi cha tatu cha huyo mzazi msababishi.
Kwa mfano kuna familia utakuta mzazi wao alikuwa na akili sana, hii itaenda hadi kwa...
Hata hawa tulionao wana mitazamo kama ya huyu Bibi. Mwanamke huwa anamkubali mwanaume ambaye ana kazi na uwezo wa kumtunza.
Angalia jinsi wanaume wengi wanaoachishwa kazi, utakuta na ndoa zao zinakuja kuvunjika.
Wanawake wengi hawawezi kuwa faraja kwa mwanaume asiye na uwezo, wao wanaangalia...
Ni kweli, Simba ikivuka hapa, Mechi zote zinazofuata ataanzia ugenini. Angekuwa na timu nzuri msimu huu angetoboa hadi Fainali.
Yanga ina mlima mrefu Robo fainali. Nusu fainali kuna mteremko, kisha akifika fainali atamalinzia gemu ugenini hapa pagumu.
Yanga vs Mamelod (Majini ya Njano tupu!)
Simba vs Ahly ( Mashetani wekundu tupu!)
Hapa kila mtu kapewa swahiba wake, safari ya timu zetu zote imefikia tamati. Tujipange tena msimu ujao.
Tujivunie kufika Robo fainali na tumevuna points nyingi za viwango vya CAF tunashukuru
Inawezekana hiyo Mimba ni ya mume wake, Maana wanawake wakipata ujauzito kuna hali ya kumchukia mumewe inaongezeka. Ndiyo sababu iliyopelekea wakagombana.
Nini cha kufanya (ushauri wangu);
1. Ni wazi Mke alifanya kosa la kutomjulisha mapema mume kuwa anaujauzito, hivyo asubiri hadi ajifungue...
Na inakuwaje mchezaji aombe kuvunja mkataba katikati ya msimu, tena wiki moja kabla ya Azam kucheza na Yanga?.
Kwa nini asisubiri ligi imalizike ndio aombe kusepa?
Hapa kuna mchezo unafanyika ili Dube asicheze game na Yanga na msimu ujao aende utopoloni.
Tena huwa wanawakabidhi hadi funguo za vyumba mapema ili wakae nazo na bado wakishafungwa ndio wanalalamika.
Kwa nini wasiwe wanalalamika kabla ya mechi ili waruhusiwe kujihami mapema?. Wanajitoa mchezoni wenyewe tu kwa kuingia kwenye mfumo ambao kiuhalisia wala haupo
(*Hotelini waliwekewa sumu kwenye chakula ikawathiri wachezaji wao watano na wakapona kabla ya mechi kwa jitihada za madaktari wao.)
Jibu: Anayestahiki kulaumiwa ni mmiliki wa Hiyo Hoteli.
(*Kipa wao kuibiwa simu na walinzi na kumpiga)
(*Wachezaji wao kujeruhiwa na kutupiwa chupa)
(*Kuumizwa...
Ile mechi kama waamuzi wangehongwa basi Simba ingeshinda hata goli 9. Maana kulikuwa na goli la Chama lilikataliwa pia Kibendera alikuwa bize kunyoosha offside za Jobe
Huyu mbona ana nafuu, huko siku za nyuma Nakumbuka msemaji wa Yanga kipindi kile Jerry Muro alikuwa anakichafua hasa kwa maneno ya shombo.
Kwa uzoefu wangu nafikiri ukiona Ahmed Ally anaongea hivi ujue anamjibu mtu aliyemkera. Hawa wasemaji sikuhizi wanatabia ya kushindana kwa kupigana vijembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.