Sijawahi kusikiliza radio hiyo, wana vipindi vya mahusiano au wanawarekodi mtu na mke wake wakiwa kitandani wanaombana. kama lile la radio free Afrika, "mi sitaki nimechoka bwana, niache nilale"
Kuna matangazo kwenye radio yanayoelezea kuwa hata kulazimisha mapenzi kwa mkeo ni ukiukaji wa haki za binadamu, Hebu niambieni kuwa kuna watu wanabadilika jinsi ya kufanya mapenzi na wake zao kwa kusikia tu tangazo la radio au wanaolipia matangazo hayo wanaharibu pesa zao, Hivi wanafanya...
Eti watanzania 30,000 wanakufa kila mwaka kwa sababu ya magonjwa ya uchafu, Eti 60% hadi 80% ya watanzania wanaoenda hospitali ni kwa sababu ya magonjwa yatokanayo na uchafu, Na tunatumia Tshs bilioni 301 kwa mwaka kutibu watu hao, kwa hiyo tukope USD 20 Millioni kufanya kampeni ili watu wajenge...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.