Mimi ni mmoja wa wafanyakazi wa kampuni ya TanzaniteOne Mining LTD,kiukweli tunashangaa sana kwa uongozi uliopo hapa kwa kutojali malalamiko ya wafanyakazi wao,
Kuna Meneja mmoja anitwa Wessel,huyu ni kaburu amabye amekaa hapa nchini kwa muda mrefu sana zaidi ya miaka kumi hatuelewi ni kigezo...
Ndugu zangu wana jamii,mimi ni Mtanzania ambaye nasikitishwa sana habari ya kila siku kwa Watanzania kunyanyasika katika nchi yetu,Habari hii ni kutoka Mirerani Mkoa wa Manyara Wilaya ya Simanjiro katika kijiji cha Naisinyai ambako ndipo ilipo kampuni ya uchimbaji madini ya Tanzanite iitwayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.