Hi Bujibuji. Nitumie details za kuihusu hiyo serikali. Mnakaa kijijini au mjini? Rangi gani ungezipendelea ktk logo yk, jina utakalotumia ktk logo; slogan (Kama ipo). Ukishatuma details tutaongea kuhusu gharama. Bila shaka hatutashindwana
Yaani we acha tu. Nalijua Hilo kaka. Ntakwambia kitu kimoja. Kwangu Mimi ni bora kuridhika na kitu kidogo kuliko kupigania kikubwa na kumkosea Mungu. Zamani nilikuwa nafanya Kazi mbalimbali but wajua kuna muda unafika inabidi ubadilike bro. Sasa hivi Nina miaka Kama 47/48 hivi na najiweka ktk...
Katika jitihada zangu za kutengeneza blog, nimekuta kuna jamaa wengine tayari wanatumia jina "bongologo" sasa basi, ili kuondoa confusion na pia kuheshimu masuala ya hatimiliki imenilazimu nibadili jina la project wangu. Nafiria kuihita "NACHORANEMBO". Sijui wadau mwasemaje
Habari sista Mimtamu. Usijali nitakutumia. Pia ukishaona baadhi ya Kazi zangu ndo utajua Kama nina uwezo Wa kukusadia kimawazo nami kujifunza mengi kwako. Muhimu, kutokana na Imani yangu, sijihusishi na project za watu au kampuni zinazojihusisha na pombe, ulevi, Kamari, na mambo kama hayo
Brother X-Paster, you are very considerate. Kitendo chako tu cha kunipa ushauri kwanza, ni sadaka mbele ya Mungu. Pili, ni msaada mkubwa kwangu. Tayari nilikuwa nimeshaanza mpango wa kuji-expose more professionally ila jana tu usiku wakati Nina-contemplate nini cha Luda ya ktk mikakati...
Hi. Nina-design nembo(logos). Pia naweza kuboresha nembo unayomilki. Ila sijhusishi na design zinazohusu kampuni au bidhaa zinazohusika na ulevi, kamari na vitu kama hivyo. Hii ni katokana na imani yangu. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com. Thanks & May ALLAH bless you dear.
Nina-design label za products vilevile. Pls. Nitumie email yk ili nikutumie sample ya labels nilizowatengenezea clients wengine. Na kaka, label ya product ambayo Ina-function Kama Brand identity ya hiyo product ni tofauti na logo. Logo ni identity ya kampuni inayotengeneza hiyo product. Mfano...
Pia unaweza kuwasiliana na jamaa Wa TBS for more info:
Tanzania Bureau of Standards
Ubungo Area, Morogoro Road / Sam Nujoma Road
Postal Address
P O Box 9524, Dar es Salaam, TANZANIA.*
Telephone +255 22 245 0298 | +255 22 245 0206 | +255 22 245 0949
Telefax: +255 22 245 0959...
TBS operates three product certification schemes; namely the Standards Mark of Quality Certification Scheme; the Batch Certification Scheme and the Tested Product Certification Scheme. The Bureau also operates the Systems Certification Scheme.
Batch Certification Scheme for Imports
Batch...
Utambulisho Wa mwanzo Wa biashara/huduma au jina la kampuni yako ni NEMBO/LOGO. Wasiliana nami Kama unahitaji nyenzo muhimu katika utambulisho wako ili ni-design NEMBO/ LOGO yako. Pia kama unataka kuiboresha au kuipa mtazamo mpya NEMBO/LOGO uliyokuwa nayo kwa sasa. 0652 999009. Bongologo@yahoo.com
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.