Ni zaidi ya miaka 50 sasa, tangu nchi ya kwanza Afrika kupata uhuru, na miaka karibia 20 tangu nchi ya mwisho ipate uhuru.
Katika kipindi hiki chote kila taifa limejitahidi kujitutumua kuimba wimbo wa maendeleo, wengine wakaungana, wakabadili mifumo, wakabadili uongozi, nk. Lakini bado hakuna...
Tukishampa nchi 2015 (japo tunaweza hata kesho), atawafanyaje watu hawa!
Wenye majumba ya thamani hali jirani zao wanalala nje!
Wenye kumiliki magari makali hali jirani zao hawana uwezo wa kununua hata ndala!
Wenye kulimbikiza fedha benki hali jirani alala njaa?
Wenye kuishi Masaki na...
WanaJF, inakuwaje pale mtu anapotokea kuhoji juu ya viongozi wa Chadema, basi wengi huja na majibu makali hata matusi? Je, wao ni malaika, hawakosei chochote? Msipokuwa makini, mtaifuga mijitu ambayo ni mamluki na wezi kama wale wa ccm, mwisho wake ushawishi wenu utashuka na kupotea kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.