Wengi Fikra zao juu ya Watu wa bara zimejaa makamasi. Wanakera hata kujadili nao.
Kuna siku atakuja rais kichaa atamaliza huu ujinga wao kwa style ambayo hawatakaa waamini, na wasiweze kufanya chochote.
Wanajiona special sana kumbe ni makamasi tu vichwani mwao!
Option bora zaidi ni kuifanya kuwa Mkoa tu. Peleka Jeshi, vunja mamlaka zote za kipuuzi, Makonda ahamishiwe huko kama Mkuu wa Mkoa.
Atakayezingua ahamie kwa wajomba zake Oman. Maana hawa wapuuzi wanachosha sana, vichwani ni empty kabisa yaani.
Wapuuzi ni waliotunza maji bila ya kuyafungulia mapema yalipofikia kiwango chake cha mwisho. Ni aidha
a) Wamedhamiria Kuhujumu.
b) Wamefanya miscalculation.
Mvua za mwaka huu ni nyingi sana, wenyewe hata hawakutarajia kama maji yatajaa mwaka huu.
Njia pekee labda ni kushawishi vilabu vilivyomo kwenye mashindano KUGOMEA mashindano ili Kushinikiza Haki kutendeka katika mechi ya Jana.
Ushawishi huo sijui kama tunao, ila nafikiri ingesaidia.
Mazembe
Waarwbu wote
Asec
Petrol
Wagomee next match zao. Ikiwezekana washinikize kujiuzulu kwa Motsepe
Dakika ya 76 Yanga anafunga goli la kuongoza South, Wenyeji wanahaha kama nyuki kuvuka mlima ulioongezeka Kimo. Bacca anaburugwa kama hana akili nzuri, dakika 5 za zinaongezwa, dakika ya 97 Mamelod wanasawazisha na isiwasaidie kitu. 98 filimbi ya mwisho 1-1.
Ajabu ni yule anayeumia kwa yanayoendelea Gaza na asitake hata kujua kinachoendelea Kongo, Msumbiji, Somalia, Nigeria.
Wao wapiganao kwa kutetea Desturi zao wanaeleweka zaidi, ila yule auaye au kuuawa kwa kutetea maslahi ya colonial Master wake, naye ni jirani yako, ANAUMIZA zaidi.
Hakika...
Madhara ya Chanjo kama ni yenye nia ovu hayawezi kujitokeza kwa miaka 3/5. Na yanaweza yasitokee kwenye mwili wako, ila yakatokea kwenye kila mtoto utakayemzaa. Labda awe zezeta, au awe shoga, au ashambuliwe na magonjwa mazito kama Kansa na kisukari, nk...
Katika miaka ya hivi karibuni, tuseme...
Ni majeruhi ya senior players. Wakipona wote anawarudisha benchi.
Hana Uthubutu wa kuwaamini watoto, japo anapokwama anawatumia na wanampa matokeo. Hata dak za mwisho akiwa anaongoza, bado aliwaingiza kina Milner.
Ni mwoga katika hilo, japo ni jasiri katika mengi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.