sasa kama wote ni ukawa kwa nini wafanye mkutano bila wengine kuwepo? huoni kasoro hapo imbayo iko wazi? mnamwonea nape bure. subirini muone ukawa itakavyosambaratika na ndoto za mchana za kuishinda ccm kutoweka. tatizo lenu mnataka muambiwe habari za kuwafurahisha tu hata kama si za kweli.
Lakini uwe mwangalifu sana usije ukatapeliwa. Maana makanisa mengi wanatafuta watoa sadaka. Wanaweza kukufilisi kwa kutake advantage ya tatizo lako na baadae kukuacha katika hali mbaya zaidi. Uwe na taadhari kubwa na utumie akili zako vyema.
Mawazo yako yatabakia kuwa ya kwako na hutatulazimisha kuchagua unayemtaka wewe. Kila mtu yuko huru kutumia akili zake kuchagua anayemtaka. Kwani wewe ushapimwa? Unawaaminisha watu ugonjwa wa kusadikika kwani we umekuwa daktari wake na ulimpima lini? Wadanganye vilaka wenzako.
Pamoja na hayo yote bado payback ya mradi ni kubwa kuliko kama mikopo ya gharama zaidi ingetumika. Pia suala la kampuni za kichina hata kama ingekuwa ni mkopo au msaada kutoka marekani au world bank bado wangeleta makampuni ya kwao. Kwa hiyo kwa hilo hakuna tofauti na siyo hoja yenye mashiko.
Hesabu zako ni shida!!!!!!!! Itabidi urudi darasani au uombe tuisheni. 1% ya 1.2 bn ni 12m na siyo milioni 1,200 na kwa miaka 20, ni 12m x 20 = 240m na siyo milioni 24,000,000. Rudi darasani au waachie hisabati wenye zao.
Acha uongo wako. Nani amekutuma uwasemee watu. Na wewe unalazimisha kuwa msemaji wa watu wakati hawajakutuma, huna Washauri? We wa ajabu sana unafanya kilekile unachokipinga? Kama wewe humpendi au humtaki usitulazimishe na wengine tunaompenda.
Kwa nini usiweke details za kutosha hapa ili watu wajue moja kwa moja location, size na bei za hizo plots? Huoni kama unaongeza urasimu usio na sababu kuwaambia watu wahamie tena mtandao mwingine wa mawasiliano?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.