Hii habari ni ya kweli huyu mama namfahamu ni mjasiriamali mjasiriamali anasaga sembe manzese yani hata sisi hatujaelewa dawa gani ya mende inakaa kwenye chupa? Na hiyo chupa ya dawa ya mende iweje ifanane na chupa ya dawa ya minyoo? Kwa kweli tumebaki midomo wazi.
Mahindi mwaka huu sio biashara wakulima wamepata mazao lakini soko hakuna.mahindi ya dodoma yanauzwa 300 kwa kilo.tanga 150.morogoro 200.imekua hasara kwa wakulima. Wafanya biashara wakubwa hawawezi kununua bado wana stock ya mwaka jana.
EAGLE FOOD PROCESSOR. Tunakuletea. Unga safi wa sembe,dona pamoja na mahindi yaliyo kobolewaKwajili ya makande kwa bei ya jumla na rejareja.unga wetu una ubora wa phali ya juu ,ni mweupe na lainiNa bei zetu ni nafuu sana50kg-40,000/=25kg-20,000/=10kg-9500/=5kg-4500/=Kwa mawasiliano piga simu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.