Kingine ni kwamba Selous sio hifadhi ya taifa ni Pori la Akiba,kuna tofauti kwani kwenye hifadhi ya Taifa hakuna shughul ya Uwindaji lakn pori la Akiba shughul hiyo inafanyika.
Ni aibu ati kuwa kiongoz mwenye amri ya mwsho af anaulzwa kama kwel jesh wamekiuka haki za bnadamu af anasema sio kwel,
Nataman yan angewashuhudia wahisani wanaojtahd kutekeleza mirad ya kutokomeza ujangili walivombeza na majbu yake et,
Ajthd kuamua mwnyewe
hiv jaman km nafas za afisa wanyamapori mbona zimerudiwa huku zikiwa na idadi chache tofauti na zile za mwanzo wakt sijackia waloitwa nafasi hizo,au wapo waloitwa???
nasumbuliwa sana na 2mbo la hedhi lkn kwa mwezi huu limeptliza af naskia maumvu ya 2mbo km niko kwenye siku zenyewe lkn hakuna hata ki2.Tatizo litakuwa n nin?au nfanyeje hta niwe ktk hali nzuri haya maumivu yananipa shida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.