Kabisa mkuu... Wamezoea kula nyama za kitonga za bure porin.. mama.e zao.. waje huku wajichanganye... Wanatumia mapori na hifadh kwa advantage ya kitonga.. maisha... Nyama bure. Matunda bure. Ardhi bure..
Naunga mkono kutolewa hao was.e....
Point ya msing uliyoandika ni moja tu.. kuwa iangalie namna zingne za kupata hyo income... Bas
Ila kwenye altenative ya kuhamisha wanyama instead ya masai.. uko wrong vibaya mno... Kabla ya masai hyo land ilikua na wanyama asilia...
Unawaona kina jokate.. mwana fa.. kina nan sjui wanaingia huko.. ile ni saccos ya kuingia na kujichotea tu kimipango mipango... Yaan ni mahala halal pa kuhalalisha wizi . Hahahah... Wacha tupigwe tu ila trust me ipo siku kitanuka
Kwanz huyo mtoa mada anafaham au keshawai kwenda pale TMAA akashuhudia kinachoendelea?.. ujue miTz ni mipumnavu sana... Kuna siku niliwai enda pale kuoima mawe yangu fulan.. kwanza ofis chafu.. hakuna cha maana .. lab zao chafu.. walijibu ohh reagent zmeisha.. had zije ndo niende.. nkasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.