Hayo ni machache tu kati ya mengi ambayo ninayafanya, na ukweli utabaki kwamba mumeo angekuona wewe wa maana kwanini kaja kwa ngumbaru mie? Hamjui mapenzi, hamjui kupenda, hamjui kuthamini, hamjali mpompo tuuu kisa usomi na malaptop yenu kila siku mnapishana checkin na mumeo na kwa taarifa yako...
Yaani hawa wenye digrii hawa ni mzigo ambao ili uutue lazima ufike, wanadai hawana muda wa kulea ndoa lakin ndio wanaoongoza kuliwa kiboga na madereva wao ofisin. Unakuta hana muda na mume lakini dereva anayemwendesha ndio anaema mzigo kila siku, tena wakizidiwa hata wafagizi wa ofisini mwao...
Wenye usomi wao watakuja juu oooh!!! hawa ni wkasababu ya shule lakni ukweli unabaki pale pale mwanamke aliyesoma ni majanga kwenye ndoa. Wanawaburuza wanaume utafikiri mikokoteni ndio maana mangumbaru tunasoko zaidi kwa waume zenu wasomi wenzenu.
Nafikiri kama mkitafakari kwa makini basi mtaelewa anacho maanisha.
Haya ngumbaru anaringia papuchu yake basi na wewe mwenye digrii mwache afaidi yatokanayo na papuchu yake.
Hata nje ya papuchu ngumbaru mimi bado nina nafasi kubwa sana ukiona fundi bomba, umeme, friji, mkata fensi, fundi mabanda...
Mbaya zaidi ni kwamba hata nje ya kuonjeshana chumvi bado mimi ngumbaru bado ninauwezo mkubwa. Wewe utashobokea kijikazi chako na ubosi wako lkn mie nitashobokea hilo hilo genge langu nnalouza dagaa uchungu na tembele.
siwajui watu kwenye madaraka lakini sitakosa kumjua mkatisha tiket wa mabasi...
Mie sina dukuduku nao tena kama wanaweza wanisome katikati ya mistari, ndio akili za darasani sina lakini za maisha zipo.
Hivi mkuu wewe kama ni mwanaume akitokea mkeo kila siku hana huduma anayokufanyia wewe yeye kama yeye zote anasaidiwa na wasaidizi, lakini nje huko kwa ngumbaru wako kila...
Swala sio kavurugwa ila huo ndio ukweli. Wanawake mliosoma mna maudhi sana nyie kila kitu mnakijua nyie, mume hana nafasi yake yaani nyie ndio mnataka msikike na mnaojua haki za wanawake na haki zenu kwenye ndoa.
Huwaga nawashangaa sana na kuwaonea huruma manake kumbe muda mwingine ndoa...
Tatizo ni kwamba wanwake wasoi hujisikia sana eti kisa nimesoma basi mume wangu hawez kucheat,
Mara mume wangu hawezi kutembea na ngumbaru kama yule mtu hata kukaa meza ya wasomi hajawah atatoka aende nae wapi?
Mkasahau kwamba hao hao mangumbaru ndio wanaaongoza kutoka na waume zenu, manake...
tunasema graduate with A's not with AIDS. bifsi nakushauri achana na mambo ya wadada kwanza pga shule jenga maisha hawa watakuja tu kwa wakati muafaka. ni hatari sana kuchanganya haya mambo hasa kwa elim kubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.