Yaani bora angekamatwa mtu mweusi,. Yaani tena kakamatwa mhindi? Hawa jamaa hawana uchungu na nchi yetu km wanapesa kwa nn wasinge jenga,hizo,maabala badala yake. Sisi wananchi tunachanggishwa.,shame on yuo all
Tangu lini lowaasa kawa raisi? unajua nn maana ya kuongoza au unalopoka tu. ungesema namshauri. kikwete hapo poa na mwenye maamuzi bado ni kikwete hapo.
ndugu Wananchi;
Kwa niaba yangu na kwa niaba ya Serikali natoa
mkono wa pole kwa Dkt. Steven Ulimboka na
kumuombea apone haraka ili aungane na familia
yake na Watanzania wenzake katika ujenzi wa
taifa. Kwa namna ya pekee namshukuru na
kumpongeza Bwana Juma Mgaza, kwa moyo
wake wa huruma...
kwan ww ni mwanamke au mwanaume. utakuwa unapepo la ngono kaombewe ndugu yangu huo msisimko wa kumwona shoga uishe. nyambavuuuuuu. usilete u Cameroon kwenye Jf .
Hivi ww kidume unasurport nn hapo mungekuwa mmewafukuza Ma waziri wenu hapo sawa dollar 300 na elfkumi ni pesa ya kuanza mfukuza mtu? Ukome mwenyewe na deni la serikari unalo daiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.