Tatizo la watanzania hawasemi ukweli tatizo siyo mawaziri, Mbona huko nyuma Watu walikuwa hawatendi haya, nadhani kuna udhaifu wa kiuongozi unaofanya Watu wajione miungu watu
Katika katiba ijayo wananchi wapewe haki ya kumiliki ardhi na kuitumia kama mtaji wa kujipatia hisa katika uwekezaji pale wawekezaji wanapotaka kuitumia ardhi hiyo. Hii itawawezesha wananchi kuwa na kipato endelevu inayotokana na ardhi yao waliyopewa na Mungu badala ya mtindo wa sasa ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.