... CCM kamwe haiwezi kukubali katiba itakayoitoa madarakani, pili Maslahi ya Kanisa katoliki yemfungamana kwenye mfumo wa Serikali ya CCM jambo linalopelekea CCM kubaki Madarakani as long as Kanisa litaendelea kuwa na waumini wapumbavu. Tatu watanzania ni wajinga sana, suala la uchaguzi...
Umeandika kishabiki sana, kumbe kajibu hoja lakini wewe unapamba, wangapi wamedanganya na hawajafanywa kitu, nawe hapa JF lazima uchukuliwe hatua kali za kiuandishi.
Serikali lazima itulie na iangalie maamuzi yake yatakuwa na athari gani baadaye na siyo kufikiria sifa za leo tu, itafute ni kwanini tumefikia hatua hii?
Asante
Pole sana kaka
POAC-Parastatal Organizations Accounts Committee-Mashirika ya umma
PAC-Public accounts Committee-Serikali kuu n a idara zake
Njoo usome Government accounting utaelewa sana mambo ya bunge mzee
Kuna watu wanatuuliza wanasema POAC za Zittio iliyovunjwa ni Gari au Nyumba?
Huyu Jamaa namjua anameza sana notise za mwalimu lakini hana uwezo wa kusolve swali jipya, ndiyo maana hata leo hii akiambiwa kitu anatapika kama kilivyo kwa wapinzani bila kupima kina mdhara gani baadaye, he can not reason, simply is a poor in future thinking
Wote wanaopinga hii hoja ya kuhoji uraia ni WAPAMBE wake, ndiyo maana wanataka nchi ishikwe na wakimbizi kama watz original hawana akili!! wanatoa povu kutetea bila sababu!!! kunaubaguzi gani hapo?
Huyo ndiyo nani? mbona hata jina sijawahi kulisikia na anajihisi anaweza kugombea urais, dahh kweli very simple anaota ndoto za mchana. Mwache aende zake kashindwa kazi aliyotumwa.
Wazanzibari wanafaidi zaidi kuliko wabara, angalia hatawakitangaza nafasi za kazi lazima waweke sharti kuwa muombaji awe mzanzibari ilihali bara hatuweki sharti kama hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.