Search results

  1. N

    PENDEKEZO: Nani anafaa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, tuone Hapa kazi tu kwa vitendo?

    The best could be hon. Eng. gerson lwenge mp
  2. N

    Mishahara hewa kwenye idara za Serikali

    umeuliza swali zuri. Kwa kawaida serikalini mshahara hautumiki kulipia huduma nyingine Kama umeme, maji nk. Malipo ya huduma hizo hufanywa kwa OC. fahamu pia kuwa mshahara hewa ni ule ambao mtumishi ni mtoro au amestaafu au amefariki Lakini anaendelea kulipwa. Kwa utaratibu mshahara wa aina...
  3. N

    Ukuu wa Mikoa: Rais Magufuli alishauriwa vibaya juu ya Elaston Mbwilo

    U Umri. He is about 70. Parseko Kone, Kandoro, Msangi, Machibya hawa wote wamefanya Kazi vizuri lakini umri unataka wapumzike ije damu mpya. Remember Mbwilo alikuwa msaidizi wa mzee Kawawa Enzi hizo.
  4. N

    Hongera Rais Kwa kuhutubia Kwa kiswahili

    Inatufundisha mambo mengi kama ifuatavyo: (i) ni lazima tujipende na tuipende nchi yetu (ii) kwamba wanaopaswa kusikiliza na kuelewa hotuba zetu ni watanzania kwa manufaa yao (iii) kutambua kuwa ni kichekesho mwenzio anazungumza lugha ya kwao kwa faida ya wananchi wake wewe unahangaika...
  5. N

    Wasifu wa Katibu Mkuu Kiongozi mpya Balozi Mhandisi John William Kijazi

    Umesahau amezaliwa tarehe 18 Novemba, 1956. Hivyo tarehe 18 Novemba, 2016 atafikisha miaka 60.
  6. N

    Rais Magufuli amteua Balozi John William Kijazi kuwa Katibu Mkuu Kiongozi

    Before the appointment, Eng Kijazi was the Tanzania High Commissioner to India. He previously served as Permanent Secretary in the then Ministry of Works when President Magufuli was a minister in the docket. Born on November 18, 1956, Eng Kijazi has a Bachelor of Science in Civil Engineering...
  7. N

    Nyumba ya Mchungaji Getrude Lwakatare yapigwa X

    Maoni mazuri. Nisaidie hivi NEMC hawahusiki na sehemu nyingine za nchi? Sijasikia mipango yao ya kuvunja nyumba zilizojengwa kando ya ziwa Victoria. Hasa mwanza. Capripoint, mwaloni, etc. Au waliovamia hifadhi ya Mlima Kilimanjaro , Kingo za mto ruaha Kama migoli na izazi. Kilimo kinachoendelea...
  8. N

    Ni aibu Prof. Sifuni Mchome kufanya kazi na Dr. Ndalichako Joyce!

    Kwa taaluma. Kwa maana ya elimu yake yote Sifuni ni mbobezi wa sheria. Angefaa zaidi kuwa Jaji au katibu mkuu wizara ya sheria badala ya kusimamia elimu. Ni tofauti sana na Ndalichako ambaye by background ni mwalimu. Kitu cha Muhimu sana ambacho Ndalichako inabidi asaidiwe ni kupata mtu wa aina...
  9. N

    Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

    Ana maanisha na juma duni ni fisadi
  10. N

    Magufuli fika na uwanja wa Taifa

    Fika uwaulize mapato ya uwanja huo na kwanini mfumo wa kukatia tiketi uliowekwa na crdb kwa milions ulikufa. Waulize pia crdb watarudishaje fedha hiyo iliyopotea
  11. N

    Manispaa ya Kinondoni yabomoa nyumba zilizojengwa kiholela

    Sasa waende na zile nyumba za ufukweni mwa Bahari ya Hindi. NEMC ni wakati wao sasa.
  12. N

    Rais Magufuli amsimamisha kazi Mkurugenzi Muhimbili

    Ukurugenzi ni cheo cha madaraka ambacho Mamlaka ya uteuzi wake ni Rais. Hivyo, kwa majibu wa sheria ya utumishi wa umma, na.8 ya 2002 Rais anaweza kutengua uteuzi Huo akiona haridhishwi na mwenendo wa Utendaji kazi. Anayo pia Mamlaka ya kuvunja bodi za Wakurugenzi. Anaweza pia kumsimamisha...
  13. N

    CHADEMA imepata jimbo lolote Zanzibar?

    Acha kueneza chuki na kufarakanisha taifa. Nani kasema watu wa Kilimanjaro na Arusha wote ni CHADEMA? Kuna wana CCM wengi tu. By the way wote ni watanzania. Ni hatari kuitazama Tanzania kwa upeo wa ukanda ukanda, ukabila kabila.
  14. N

    Maxence Melo na Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, wapo Clouds TV kipindi cha 'Tathmini ya Uchaguzi'

    Usihangaike. Ninamfahamu vizuri sana sana Anna Mughwira. To be brief, anatafuta cheo tu. Not more.
  15. N

    Dr Slaa Vs Lowassa kwenye matokeo ya ubunge!

    Tathmini yake ingekuwa nzuri Kama angetaja na Idadi ya halmashauri ambazo upinzani umechukua.
  16. N

    Mapambano dhidi ya Ufisadi

    Nimekuwa nikitafakari kwa kina na kujiwa na wazo kuwa uchaguzi uliopita ulikuwa na agenda nyingine maalum ya kuhakikisha wapinga Ufisadi Mara Hii hawaingii bungeni. It was deliberate. Tazama Filikunjombe is no more. Sendeka, Kafulila, Kilango, Lembeli, Mtemvu, Wenje, Baruani, Mkosamali na...
  17. N

    Mapendekezo ya wananchi: Muundo wa Baraza la Mawaziri kwa Serikali ya Awamu ya Tano

    Ni vizuri kuwe na baraza dogo lenye wizara zisizozidi 17. Lenye mawaziri Kama ifuatavyo: Waziri Mkuu- Harrisson Mwakyembe Waziri wa M/Nje na Ushirikiano wa Kimataifa- Asha-Rose Waziri wa Ulinzi - Hussein Mwinyi Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii- Waziri wa Habari na Mawasiliano- Prof. Mbarawa...
Back
Top Bottom