Mpaka Sasa mafanikio ya Drones na missiles zilizorushwa na Iran kushambulia Israeli 🤔
....
Iran’s achievements in the attack against Israel:
1. Wounded Muslim girl.
2. Three missiles fell in Jordan.
3. At least one rocket fell in Iraq.
Drone ya Iran yakwama kwenye nguzo ya umeme nchini Iraq. Wavaa vipedo, misuli na makobazi eti wanashangilia Israeli kushambuliwa na Iran hata kama hakuna madhara 😂
....
https://t.me/hnaftali/8893
kimsboy
Ritz
FaizaFoxy
Alwaz
@greenrajab
Mathanzua
Wavaa vipedo, misuli na makobazi bhana. Hata wakifeli kwenye missions zao wanashangilia🤔
Hii drone yao imekwama kwenye nyaya za umeme nchini Iraq 🤔
One of the Iranian drones got stuck in electric pole wires in Iraq.
https://t.me/hnaftali/8893
Mpaka Sasa kwenye huu mtanange Israel inaongoza moja bila dhidi ya Iran. 99% ya drones na makombora toka Iran yamedunguliwa. Israeli imepata green light kushambulia Iran especially vinu vya nyuklia 🤔
Bibi Tarabushi,Unashabikia?!!! Israeli wakianza Kuretaliate wewe na wavaa vipedo na misuli wenzako msianze kudai Israeli inaua raia wasio na hatia wanawake, watoto na wazee 🤔
Bila Bakwata kungekuwa na vurugu mechi huko upande wa pili. Bakwata imesaidia sana serikali kuleta amani nchini. Hao wavaa vipedo, misuli na makobazi ni watu wa vurugu sana. Dunia nzima inajua 🤔
Kwenye utawala wa Nyerere kulikuwa na magumu mengi sababu ya vita vya ukombozi kusini mwa bara la Afrika. Wakati Tanzania ilikuwa ikisaidia nchi za kusini(Zimbabwe, Afrika ya kusini, Namibia, Msumbiji, Angola), kujikomboa dhidi ya utawala wa Makaburu wa Afrika kusini. Makaburu hawa walisaidiwa...
Wakati mwingine huwa tunanunua vitu kwa watu ambao ni less privileged sio kwa sababu tunahitaji. Tunafanya hvyo ili kuwapa support na ni namna vilevile ya kugawana riziki kwa wenye uhitaji. So keep it up bro, Mungu akubariki🤔
Hivi viongozi waandamizi wa kijeshi wa Iran, Majenerali, huwa wanafanya nini kwenye nchi hasimu za Israeli, Syria na Lebanon, kama Sio kupanga hujuma na ugaidi dhidi ya Israeli? Kwa hiyo Israel ikae tu ikiangalia bila kufanya lolote? 🤔
Israeli ina refusha vita vya Gaza ili kukomesha Iran proxies. Sasa hivi Israeli hata ikishambulia Syria na Lebanon Kunakuwa hakuna makelele mengi, manake inakuwa ipo vitani 🤔
Kwa mantiki hii ina maana kuna wakati mwingine CCM hushambulia watu ila Sio kwa tukio hili la Ole Sendeka? Je, CCM ina Kikundi cha Kigaidi kinachoshambulia watu? Naita Kikundi cha kigaidi manake najua CCM kama chama hakina jeshi rasmi wala polisi🤔
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.