Mkuu Makoshneli Asante sana, endelea kutirirka sasa nimeanza kuelewa vizuri, maana kuna wakati nilikua nasiliza kipindi cha njia panda, nikawa nasikia jamaa alivokua akihadithia safari yake ya kusaka hizo rupia, nikama hadithi za Allan quaterman kama King solomon mines, si mchezo
ni wapuuzi tu ndo wanatetea uonevu na ukandanizaji wa serikali kwa wapinzani we cannot take it any more remember to every action there is equal reaction, sugu alikua anajitahidi kujikwamua kutoka mikononi mwa mabaradhuli mbwa wa chukua chako mapema so akawa ameshika mike na ikachomoka bahati...
Be positive, kwa nini umewahi kuhisi kua huenda ana nia mbaya, labla ilikua ni ku-get aquinted with you, na akakosa namna sahihi ya kuanzisha stori. Mwambie tu ni long story kama hujisikii kusema mlimeet wapi, take it easy
Namkumbuka Nyau huyu alikua anafundisha Biology, kipindi hicho alitokea tambaza baada ya tambaza kufungwa kwa muda, kuna Robort huyu alikua anatukimbiza hadi muhimbili, kuna Ryoba alikua poa sana, tokyo namkumbuka sana alikua mshakaji kweli vipi mnaukumbuka mti mawazo pale nje ya hostel?
Flora Bahati Lyimo Kwenye picha hapo juu ndie anaedaiwa kufanyiwa shambulio la ubakaji, ingawaje ukifatilia madai aliyopeleka police ( Flora sasa) yeye anadai Lema alitishia kumuua na sio kumbaka, kwenye blog yake anasema Lema kambaka na kutishia kuumua ( Contradicting!) ukiuliza proof hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.