Adui ni adui tu. Unapodhamiria kummaliza adui na hasimu wako mkuu unapaswa kutumia kila njia kummaliza. Na njia rahisi ya kummaliza ni kujiunga na wale wote waliojeruhiwa na adui yako ili muweze kumsawazisha kwa nguvu kidogo. Our enemy is the ccm which has been on power for almost 50yrs with...
Huyo JK atume au asitume salamu za rambirambi in sawa tu. System imehusika ktk mauaji hayo.
Nadhani yuko busy kujiandaa kwenda Lesotho kwa mfalme Mswati kushuhudia sherehe za kila mwaka za mabinti MABIKRA kupit robo tatu uchi mbele ya mfalme ili aweze kujichulia kinda bichi. Si unajua tena huyu...
Kama huna la kuandika nakushauri uende kujisaidia walau huo uchafu ulioko kwenye mfumo wa mwili wako utoke kwani ndio unaokusababishia kuakaa nakuandika pumba kwenye mtandao huu. We have a lot to think and do. To hell with your nonsense post
Katika watu wenye mawazo VIZA wewe unaongoza. Wewe ulitaka halima akuletee hela nyumbani kwako? Chemsha bongo yako. Information is POWER. Hawa CHADEMA wamejitahidi sana kutupa taarifa motomoto za madudu serikali inayofanya. CDM imekuwa kama remote control kwa ChamaCha Majambazi wa nchi hii. CDM...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.