Pole mpenzi, mim pia nateswa na ki2 kama hicho huu ni mwez wa3 sasa ila najitahidi na nahisi am about to move on, jitahid kuwa busy na mambo yako,jichanganye na friends ambao hawamjui wala hawajui story yako na yeye I mean ambao hawataweza kumuulizia,unapohisi upweke usiwaze sana kuwa angekuwepo...
Mnaohisi mm nimekuwa mwepec kukata tamaa si kwel nimevumilia hali hii kwa miez kadhaa na huyu mtu nadhani aliniacha muda mrefu mim tu niling'ang'ana maana tumeachana asubuhi jion kasha amishia mwanamke kwake nivumilie lipi lingine jaman,,,lakn inaniumiza sana sana nashndwa kufanya lolote...
Hapana nduguyangu si play part ya mke mana sifui sipki nashinda hostel ila kulala ilikuwa ni kawaida lazma nilale kwake,,hata nikikaa wiki sifanyi mambo ya mke
Mzazi wangu wewe jaman unalia hivo hapa yeye ndo analipa ada na wewe unajua ungekuwa unalipa wewe leo siungekua msiba jaman,yeye ndo ananilipia ada jaman
Salam kwenu nduguzangu, naombeni kufunguliwa macho maana nahisi mapenzi yamenifumba macho,mimi ninampenZi wangu tuko na miaka miwili sasa lakini kama miezi miwili ilopita mwenzangu kabadilika sana na sikuzinavo enda nazidi kupokea vituko, mwez flan alikua hataki kufanya mapenz akisema mazoez...
Oooh yani nyie bila kunyonywa hiyo mi pipi yenu hamjafanya bado ila nyie kuzama chumvini hadi mkusanye mawazo jf yani ungekuwa wangu nakumwaga fasta najivutia mwenzio ambae si chumvini2 ananyonya had makwapa,miguu.hadi ikweta akiamua
Kweli kabisa wao wanaona tunataka wasiende tu huko nje kumbe wanaenda kutu aibisha yana gonga dakika 1 yamemaliza yanajiona maduuuuuuuume akati hakuna ki2 kaacha aibu tu pale
Sasa nyie wanaume mnatuchanganya!,,,,mara mtu ukifanya mazoezi sana unapoteza hamu ya mapenzi,mara ukifanya mazoezi unachoka sana hivyo unamaliza haraka,haya hii nyingine tena ukifanya mazoezi unakaa muda mrefu jamani lipi ni lipi????
Hujapoteza mapenzi ila hunaimani na anachokifanya mana umezoea kukuta washakufundishia huyu unahisi hawezi..acha uzembe wewe kwenye game uko muda mrefu yeye mgeni mfunze bana si kumuacha na ukimfunza ataikitokea mbeleni hujamuoa atakukumbuka kila anapofanya mapenzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.